AHMED ALLY ATOA MSIMAMO WA SIMBA ISHU YA DEJAN "AMEVUNJA MKATABA TUNAENDA KUTOA HUKUMU" by @Millard Ayo - Post Details

AHMED ALLY ATOA MSIMAMO WA SIMBA ISHU YA DEJAN "AMEVUNJA MKATABA TUNAENDA KUTOA HUKUMU"

Mshambuliaji wa kimataifa wa Serbia anayeichezea Simba SC Dejan Georgijevic (28) leo ametangaza kuwa amevunja mkataba wake wa Simba SC, Dejan ameeleza hayo ikiwa ni siku 53 zimepita toka ajiunga na Simba SC kwa mkataba wa miaka mitatu na kumfanya kuwa mchezaji mwenye mkataba mrefu zaidi Simba SC.

Similar Posts!