Azam Waivuta Simba Shati by @SIMU. Tv - Post Details

Azam Waivuta Simba Shati

Klabu ya Azam Fc jana imeshindwa kuutumia vizuri uwanja wake wa nyumbani baada ya kulazimishwa sare na klabu ya Simba.

Similar Posts!

Ndanda FC Yaiua Lipuli
Ndanda FC Yaiua Lipuli

Klabu ya soka ya Ndanda FC mkoani Mtwara imeibuka na ushindi mwingine hii leo baada ya kuibamiza Lipuli FC ya mkoani Iringa kwa mabao 2-1



Singida United Yaichapa Kagera Sugar
Singida United Yaichapa Kagera Sugar

Timu ya Singida United imeendelea kuonesha ukomavu wa soka baada ya kuibuka na ushindi wa bao moja kwa bila dhidi ya Kagera Sugar.



Simba Yaichapa Mwadui
Simba Yaichapa Mwadui

Klabu ya soka ya Simba imeendeleza wimbi la ushindi kunako ligi kuu Tanzania bara baada ya leo kuichapa Mwadui FC kwa mabao 3-0



Azam FC Yaichapa Kagera Sugar
Azam FC Yaichapa Kagera Sugar

Ligi kuu soka Tanzania bara imeendelea leo kwa kupigwa mchezo mmoja kati ya Azam na Kagera Sugar ambapo Azam FC imeshinda kwa bao moja kwa bila



Azam FC Yatoshana Nguvu na Simba
Azam FC Yatoshana Nguvu na Simba

Timu za Azam FC na Simba zimetoka sare ya bila kufungana katika mchezo wa ligi kuu uliopigwa hapo jana katika dimba la Azam Complex



Simba Na Azam Hakuna Mbabe
Simba Na Azam Hakuna Mbabe

Timu ya Azam imeshindwa kutamba katika uwanja wa nyumbani baada ya kulazimishwa kutoka sare na timu ya Simba