Manara Yanga walipatwa na Bumbuwazi mechi yao na Asante Kotoko by @Shutikali TV - Post Details

Manara Yanga walipatwa na Bumbuwazi mechi yao na Asante Kotoko

Uongozi wa klabu ya Simba umetangaza rasmi kucheza na timu ya Asante Kotoko ya Ghana katika tamasha lake la Simba Day, Agosti 8 mwaka huu. Kupitia kwa Ofisa Habari wa klabu hiyo, Haji Sunday Manara, amesema Simba itachuana na timu hiyo kongwe ambayo inashiriki Ligi Kuu Ghana kwa ajili ya kuitambulisha timu yao. Manara amewatangaza Kotoko kucheza nao baada ya hapo awali kuenea kwa taarifa kuwa Simba imewaalika wapinzani wakubwa wa Gor Mahia FC, AFC Leopards kutoka Kenya lakini amezikanusha akisema hazikuwa na ukweli. Katika msimamo wa Ligi Kuu Ghana, Kotoko wamecheza mechi 15 wakiwa kwenye nafasi ya 4 huku wakijikusanyia alama 24 na Ashanti Gold iliyo nafasi ya kwanza ina alama 27 ikiwa imecheza michezo 15 pia. Zikiwa zimesalia siku 7 pekee kuelekea tamasha hilo, kikosi cha Simba hivi sasa kipo katika kambi maalum ya wiki mbili nchini Uturuki ambapo kimeweka kambi katika jiji la Instanbul. Kikosi hicho baada ya kambi yake kumalizika kitaanza safari ya kurejea nchini kuanzia tarehe 4 mwezi huu tayari kwa tamasha hilo kubwa linalofanyika kila mwaka.

Similar Posts!

CHECHE ZA AHMED ALLY SIMBA BAADA YA KUIFUNGA JWANENG GALAXY GOLI 6-0
CHECHE ZA AHMED ALLY SIMBA BAADA YA KUIFUNGA JWANENG GALAXY GOLI 6-0

Tafadhali Subscribe Shutikali Tv ili kuwa wa kwanza kupata taarifa mbalimbali za Michezo #sokatanzania #simba #yanga #azam #mpira #football #tanzania #chama #feitoto# #mayele#azizki#mosesPhiri#mashabikisimbayanga#ahmedyally#allykamwe#



USHINDI WA YANGA | Ally KAMWE AMWAGA MACHOZI  YA FURAHA,Belouizdad WALOWA GOLI NNE KWA MKAPA
USHINDI WA YANGA | Ally KAMWE AMWAGA MACHOZI YA FURAHA,Belouizdad WALOWA GOLI NNE KWA MKAPA

Tafadhali Subscribe Shutikali Tv ili kuwa wa kwanza kupata taarifa mbalimbali za Michezo #sokatanzania #simba #yanga #azam #mpira #football #tanzania #chama #feitoto# #mayele#azizki#mosesPhiri#mashabikisimbayanga#ahmedyally#allykamwe#



FURAHA TAZAMA MZAMIRU YASSIN ALIVYOKUTANA NA BABAYKE BAADA YA GAME KIGOMA
FURAHA TAZAMA MZAMIRU YASSIN ALIVYOKUTANA NA BABAYKE BAADA YA GAME KIGOMA

Tafadhali Subscribe Shutikali Tv ili kuwa wa kwanza kupata taarifa mbalimbali za Michezo #sokatanzania #simba #yanga #azam #mpira #football #tanzania #chama #feitoto# #mayele#azizki#mosesPhiri#mashabikisimbayanga#ahmedyally#allykamwe#



NAHODHA WA MLANDGE ASEMA UKWELI KUSAJILIWA YANGA DIRISHA DOGO.
NAHODHA WA MLANDGE ASEMA UKWELI KUSAJILIWA YANGA DIRISHA DOGO.

Tafadhali Subscribe Shutikali Tv ili kuwa wa kwanza kupata taarifa mbalimbali za Michezo #sokatanzania #simba #yanga #azam #mpira #football #tanzania #chama #feitoto# #mayele#azizki#mosesPhiri#mashabikisimbayanga#ahmedyally#allykamwe#



ALLY KAMWE : AFURAHIA USAJILI WALIOFANYA YANGA | SIMBA HOMA YA SAA.
ALLY KAMWE : AFURAHIA USAJILI WALIOFANYA YANGA | SIMBA HOMA YA SAA.

Tafadhali Subscribe Shutikali Tv ili kuwa wa kwanza kupata taarifa mbalimbali za Michezo #sokatanzania #simba #yanga #azam #mpira #football #tanzania #chama #feitoto# #mayele#azizki#mosesPhiri#mashabikisimbayanga#ahmedyally#allykamwe#



LADACK CHASAMBI WA MTIBWA SUGAR ASEMA UKWELI KUSAJILIWA SIMBA DIRISHA DOGO
LADACK CHASAMBI WA MTIBWA SUGAR ASEMA UKWELI KUSAJILIWA SIMBA DIRISHA DOGO

Tafadhali Subscribe Shutikali Tv ili kuwa wa kwanza kupata taarifa mbalimbali za Michezo #sokatanzania #simba #yanga #azam #mpira #football #tanzania #chama #feitoto# #mayele#azizki#mosesPhiri#mashabikisimbayanga#ahmedyally#allykamwe#



Malalamiko ya Beno kakolanya Baada ya Kufungwa na Simba Penalt SIMBA Ngao  ya Jmaii 4-2 Singida FG.
Malalamiko ya Beno kakolanya Baada ya Kufungwa na Simba Penalt SIMBA Ngao ya Jmaii 4-2 Singida FG.

Tafadhali Subscribe Shutikali Tv ili kuwa wa kwanza kupata taarifa mbalimbali za Michezo #sokatanzania #simba #yanga #azam #mpira #football #tanzania #chama #feitoto# #mayele#azizki#mosesPhiri#mashabikisimbayanga#ahmedyally#allykamwe#