Tarimba: Simba, Yanga Hatutaki Masihara, SportPesa Awapa Kazi by @KidaniStars - Post Details

Tarimba: Simba, Yanga Hatutaki Masihara, SportPesa Awapa Kazi

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars MKURUGENZI wa utawala na udhibiti wa SportPesa, Tarimba Abbasi, amezitaka klabu za Simba na Yanga kuacha masihara na badala yake kuhakikisha wanachukua ubingwa wa #SportPesa Super Cup. Kauli hiyo ameitoa leo katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Michuano hiyo inatarajiwa kuanza kutimua vumbi kesho jijini Dar inahusisha jumla ya timu nane nne za nchini Tanzania ambazo ni Simba, Yanga,Mbao na Singida United na za kutoka Kenya ni Gor Mahia ambaye ni bingwa mtetezi, AFC Leopard, Bandari na KK Sharks. "Haiwezekani tena safari hii ubingwa wa michuano hii uende Kenya kama ilivyofanyika miaka miwili iliyopita, hivyo ni lazima timu za nchini kupambana kuhakikisha wanaubakisha ubingwa hapa nchini. " Tayari nimekutana na viongozi wa Simba, Yanga, Mbao FC na Singida Utd nikiwasisitizia ubingwa ubaki nyumbani. "Nimewaambia waache mzaha kabisa kwa kutumia wachezaji wa vikosi vya pili na badala yake kuwatumia wale wa kikosi cha kwanza. "Mara kadhaa tumeziona Simba na Yanga wakitumia wachezaji wa kikosi cha pili, hivyo mwaka huu hatutaki kitu hicho kitokee kikubwa tunataka ubingwa," alisema Tarimba. Bingwa wa michuano hii anatarajiwa kujichotea dola elfu 30 (Shilingi milioni 70). Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars/ Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars/ Twitter: https://twitter.com/kidanistars

Similar Posts!

UTASHANGAA!! ZOU WA YANGA AIBUA MAPYA KWA WACHEZAJI!
UTASHANGAA!! ZOU WA YANGA AIBUA MAPYA KWA WACHEZAJI!

Telegram: https://t.me/KidanistarsTV Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Je,wewe unatumia Telegram? Kama ni ndio karibu kwenye Channel yetu ya Kidanistars Telegram. BONYEZA Link hii https://t.me/KidanistarsTV



ALICHOKISEMA SKUDU WA YANGA BAADA YA KUWAFUNGA KAIZER CHIEF
ALICHOKISEMA SKUDU WA YANGA BAADA YA KUWAFUNGA KAIZER CHIEF

Telegram: https://t.me/KidanistarsTV Mchezo wa kilele cha Wiki ya Mwananchi kati ya wenyeji Young Africans SC dhidi ya vigogo ...



SIKIA TAMBO ZA RAGE WA SIMBA HOROYA KUPIGWA BAO 7, TUMETINGA ROBO FAINALI
SIKIA TAMBO ZA RAGE WA SIMBA HOROYA KUPIGWA BAO 7, TUMETINGA ROBO FAINALI

Telegram: https://t.me/KidanistarsTV Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: ...



MAZEMBE WAIGOMEA YANGA KUPANDA BASI PRIVADINHO AWAKA TUTAWAONYESHA UWANJANI
MAZEMBE WAIGOMEA YANGA KUPANDA BASI PRIVADINHO AWAKA TUTAWAONYESHA UWANJANI

Telegram: https://t.me/KidanistarsTV Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Je,wewe unatumia Telegram? Kama ni ndio karibu kwenye Channel yetu ya Kidanistars Telegram. BONYEZA Link hii https://t.me/KidanistarsTV



RAJA CASABLANCA WATUA DAR KIBABE MECHI YA KIBABE DHIDI SIMBA
RAJA CASABLANCA WATUA DAR KIBABE MECHI YA KIBABE DHIDI SIMBA

Telegram: https://t.me/KidanistarsTV Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: ...



MANGUNGU KWA MARA YA KWANZA " HII NDIO SIMBA TUTABEBA UBINGWA"
MANGUNGU KWA MARA YA KWANZA " HII NDIO SIMBA TUTABEBA UBINGWA"

Telegram: https://t.me/KidanistarsTV TIMU ya Simba SC imeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Singida Big Stars katika ...



SIKIA MAPOVU YA AHMED ALLY ATAMBA NA GOLI LA SAKHO "NDIO BORA MSIMU HUU"
SIKIA MAPOVU YA AHMED ALLY ATAMBA NA GOLI LA SAKHO "NDIO BORA MSIMU HUU"

Telegram: https://t.me/KidanistarsTV TIMU ya Simba SC imeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Singida Big Stars katika ...