HAJI MANARA KAFUNGUKA BAADA YA CHAMA KUONDOKA SIMBA SC "JIRANI YANGU NIKUTAKIE KHERI NYINGI" by @Millard Ayo - Post Details

HAJI MANARA KAFUNGUKA BAADA YA CHAMA KUONDOKA SIMBA SC "JIRANI YANGU NIKUTAKIE KHERI NYINGI"

Baada ya aliekuwa Staa wa Simba SC raia wa Zambia Cloutous Chama kujiunga na club ya RS Berkane ya nchini Morocco. Sasa aliekuwa Msemaji wa Simba Sc, Haji Manara ameyaandika haya . . "Niliona miguu yako siku ya kwanza nikapagawa na ufundi wako..Nakumbuka tukiwa Kitwe Zambia,Picha hiyo ya mbele ikatawala Katika mitandao na Magazeti ya kwenu"- Haji Manara . . "Nakumbuka pia wakati tunarudi ukaniambia tutafuzu kwenye mechi ya marudiano, ahhhhh Mwamba ukafunga goli maridadi mno dhidi ya Nkana"- Haji Manara "Real friend na Jirani yangu nikutakie kheri nyingi katika maisha mapya Morocco na naamini utafanikiwa"- Haji Manara

Similar Posts!