Mpenja TV's user profile page. Match highlights, posts and more on site!

“”

 Report User

Latest Posts

AHMED ALLY: "NITALIA SANA GOLI 7 NI NYINGI/MECHI YETU NA RAJA TUNAOMBA CAF WAIFUTE/REKODI AFRIKA
AHMED ALLY: "NITALIA SANA GOLI 7 NI NYINGI/MECHI YETU NA RAJA TUNAOMBA CAF WAIFUTE/REKODI AFRIKA

Moto Utawaka Uwanja wa Benjamin Mkapa ni Mchezo Mkubwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Simba Sc dhidi ya Horoya AC Majira ya Saa 1:00 Jioni. Mpenja Tv tunahakikisha tunakuletea Mfululizo wa Matukio yote yanayohusu Mechi hiyo Kabla na Baada ya Mechi.



BARAKA MPENJA AKOSHWA NA MOLOKO/"KOCHA NABI NI HATARI/WANANCHI WAMEFURAHI”
BARAKA MPENJA AKOSHWA NA MOLOKO/"KOCHA NABI NI HATARI/WANANCHI WAMEFURAHI”

Hii ni kutoka Ulipo Uwanja wa Azam Complex,Chamazai ambako inachezwa Mechi ya Ligi Kuu ya NBC kati ya Yanga Sc ambao ni Wenyeji wa Mechi hiyo wakiikaribisha Geita Gold. Na hivi ndivyo Hali ilivyo Nje ya Uwanja huo,Kupitia Mpenja Tv tunahakikisha tunakuletea Mfululizo wa Matukio ya Kabla na Baada ya Mechi hiyo



ALLY KAMWE AMBANANISHA HASHEEM IBWE/AUKUBALI MUZIKI WA YANGA SC/MSIUWANE KWA SABABU YA HELA...
ALLY KAMWE AMBANANISHA HASHEEM IBWE/AUKUBALI MUZIKI WA YANGA SC/MSIUWANE KWA SABABU YA HELA...

Leo March 08 2023,Yanga SC anamkaribisha AS Real Bamako kutoka Nchini Mali Katika Dimba la Benjamin Mkapa,kwenye Mchezo wa Kundi D wa Kombe la Shirikisho Afrika, Mchezo Unaochezwa Saa Moja Jioni.



SIMBA TUKIFUNGWA NA AFRICAN SPORTS CAF WATALIA SANA/TUTACHEZA KAMA NA  ORLANDO PIRATES/KIBU DENIS...
SIMBA TUKIFUNGWA NA AFRICAN SPORTS CAF WATALIA SANA/TUTACHEZA KAMA NA ORLANDO PIRATES/KIBU DENIS...

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC ,Ahmed Ally amezungumzia maandalizi yao ya Mchezo wa kesho wa kombe la Shirikisho la Azam Sports hatua ya 16 Bora dhidi ya African Sports ,Utakaochezwa Uwanja wa Uhuru,Saa 10 Jioni.



ALLY KAMWE" KILA NCHI TUNAYOFIKA WANAMFAHAMU MAYELE/KILA DAKIKA 90 KWENYE MICHUANO HII INAFUNZO.
ALLY KAMWE" KILA NCHI TUNAYOFIKA WANAMFAHAMU MAYELE/KILA DAKIKA 90 KWENYE MICHUANO HII INAFUNZO.

Yanga SC wamewasili Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere wakitokea Nchini Mali,ambapo Siku ya Jumapili ya Januari 26 walicheza Mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya Makundi dhidi AS Real Bamako,Mchezo uliyokwisha kwa Sare ya 1-1.



ALLY KAMWE: "KAMA YULE KOCHA ANGEKUWA WA YANGA TUNGEKUWA TUNAMKUTA UBUNGO"/HATUENDI KUPAKI BASI MALI
ALLY KAMWE: "KAMA YULE KOCHA ANGEKUWA WA YANGA TUNGEKUWA TUNAMKUTA UBUNGO"/HATUENDI KUPAKI BASI MALI

Kivumbi cha Ligi Kuu ya NBC kinaendelea Leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa Majira ya Saa 10:00 Jioni ni kati ya KMC Fc na Yanga Sc. Na haya ni Matukio yote yanayohusu Mechi hiyo.



ALLY KAMWE AMPA POLE AHMED ALLY/"AKILI YAKE HAIPO SAWA/HII NDIO YANGA/MUSONDA/MPIRA WA KIKUBWA"
ALLY KAMWE AMPA POLE AHMED ALLY/"AKILI YAKE HAIPO SAWA/HII NDIO YANGA/MUSONDA/MPIRA WA KIKUBWA"

Leo Februari 19 2023,Yanga SC anamkaribisha TP MAZEMBE kutoka DRC CONGO Katika Dimba la Benjamin Mkapa,kwenye Mchezo wa Kundi D wa Kombe la Shirikisho Afrika, Mchezo Unaochezwa Saa Moja Jioni.



TP MAZEMBE WAMEFIKA DAR/ MUKOKO TONOMBE "NIMEFURAHI KURUDI"/ ZEMANGA SOZE "NAMJUA MAYELE"
TP MAZEMBE WAMEFIKA DAR/ MUKOKO TONOMBE "NIMEFURAHI KURUDI"/ ZEMANGA SOZE "NAMJUA MAYELE"

Wapinzani wa Yanga SC kwenye Hatua ya Makundi Kombe la Shirikisho Tp Mazembe Leo hii wamewasili Dar es salaam tayari kwa Mechi ya Jumapili hii Uwanja wa Benjamin Mkapa.



Highlights

KWA MKAPA PAMETAKATA/SIMBA HAWAPOI/WAMEULA WA CHUYA/SIMBA VS MBEYA CITY
KWA MKAPA PAMETAKATA/SIMBA HAWAPOI/WAMEULA WA CHUYA/SIMBA VS MBEYA CITY

Ni Muendelezo wa Ligi kuu ya NBC ambapo leo Tarehe 18/1/2023 Simba SC anamenyana na Mbeya City katika Dimba la ...



HASHEEM IBWE: YANGA HADI WATULIPE KWANZA MILIONI KUMI ZA GADIEL MICHAEL/ WAMEPEWA MAJIBU
HASHEEM IBWE: YANGA HADI WATULIPE KWANZA MILIONI KUMI ZA GADIEL MICHAEL/ WAMEPEWA MAJIBU

Katika Uwanja wa Azam Complex Chamazi, Unapigwz Mtanange wa ligi kuu ya NBC kati ya Azam FC na Tanzania Prisons.



KOCHA TANZANIA PRISONS: TUMEFANYA MABADILIKO YA WACHEZAJI/ TUMESHAFANYA USAJILI WA WACHEZAJI...
KOCHA TANZANIA PRISONS: TUMEFANYA MABADILIKO YA WACHEZAJI/ TUMESHAFANYA USAJILI WA WACHEZAJI...

Katika Uwanja wa Azam Complex Chamazi, Unapigwz Mtanange wa ligi kuu ya NBC kati ya Azam FC na Tanzania Prisons.



KOCHA WA AZAM FC: KIWANGO CHA MALICKU NDOYE/GOLI LA KIPRE JUNIOR, ANAZIDI KUJENGA UMAKINI...
KOCHA WA AZAM FC: KIWANGO CHA MALICKU NDOYE/GOLI LA KIPRE JUNIOR, ANAZIDI KUJENGA UMAKINI...

Katika Uwanja wa Azam Complex Chamazi, Unapigwz Mtanange wa ligi kuu ya NBC kati ya Azam FC na Tanzania Prisons.



SIHITAJI KURUDI SIMBA KWA SASAHIVI/SIKUAMINIWA/TULIWAHESHIMU SIMBA SC/ SIMU ZIMEANZA KUITA..
SIHITAJI KURUDI SIMBA KWA SASAHIVI/SIKUAMINIWA/TULIWAHESHIMU SIMBA SC/ SIMU ZIMEANZA KUITA..

Mchezaji wa Zamani wa Simba Sc, Kagera Sugar na Ruvu Shooting ambaye Sasahivi anacheza Mlandege, Abdul-Swamad ...



MC PETIT AMWAGA MACHOZI KISA FEISAL/"KAZI YOTE ILE MIL 4/CHAMA ALIMSAJILI SAIDO SIMBA/WAMECHUKIA"
MC PETIT AMWAGA MACHOZI KISA FEISAL/"KAZI YOTE ILE MIL 4/CHAMA ALIMSAJILI SAIDO SIMBA/WAMECHUKIA"

Leo Tarehe 30/12/2022 Katika Dimba la Benjamin Mkapa Unapigwa Mtanange wa ligi kuu ya NBC wa Kufungia Mwaka kwa ...



SAIDO NYOTA WA MCHEZO/NAOMBA ANISAMEHE NILIPINGA USAJILI WAKE/CHAMA NA SAIDO WATAFANYA MAKUBWA SANA
SAIDO NYOTA WA MCHEZO/NAOMBA ANISAMEHE NILIPINGA USAJILI WAKE/CHAMA NA SAIDO WATAFANYA MAKUBWA SANA

Leo Tarehe 30/12/2022 Katika Dimba la Benjamin Mkapa Unapigwa Mtanange wa ligi kuu ya NBC wa Kufungia Mwaka kwa ...



MWAKITALIMA ANA BALAA HUYO/ PASI ZA SIMBA, TULIKUWA TUNAHESABU MAKILOMETA/KUKU KISHINGO, AMECHINJWA
MWAKITALIMA ANA BALAA HUYO/ PASI ZA SIMBA, TULIKUWA TUNAHESABU MAKILOMETA/KUKU KISHINGO, AMECHINJWA

Leo Tarehe 30/12/2022 Katika Dimba la Benjamin Mkapa Unapigwa Mtanange wa ligi kuu ya NBC wa Kufungia Mwaka kwa ...




« Previous Next »


User Detail Page

You can find user latest posts and related content on the page. Friends, comments for events / matches are also available on the page. Even you can find users who are same pleasure with current user.

#Travel, #SupportYourTeam, #AllAboutSports