KidaniStars's user profile page. Match highlights, posts and more on site!

“”

 Report User

Highlights

JKT Tanzania Walivyotua Taifa Kucheza na Simba, Wapigwa 3-1
JKT Tanzania Walivyotua Taifa Kucheza na Simba, Wapigwa 3-1

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars MABINGWA watetezi, #SimbaSC wameanza vyema msimu mpya wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya #JKTTanzania jioni ya leo Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam. #EdwardSongo Kikosi cha JKT Tanzania kilikuwa; Abdulrahman Mohammed, Madenge Ramadhani/Michael Aidan dk64, Edward Charles, Mohammed Fakh, Rahim Juma, Jabir Aziz, Mwinyi Kazimoto, Hafidh Mussa, Hassan Matalema/Said Luyaya dk79, Danny Lyanga na Ally Bilal/EdwardSongo dk62. Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/Kidanistars



Jionee Mashabiki Simba Baada Ya Kutolewa  UD Do Songo
Jionee Mashabiki Simba Baada Ya Kutolewa UD Do Songo

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/Kidanistars



Walichokisema Mashabiki Yanga Kutolewa Simba na UD Songo
Walichokisema Mashabiki Yanga Kutolewa Simba na UD Songo

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/Kidanistars



Egypt 1-0 Tanzania, Samatta, Kocha Wafunguka Kufungwa
Egypt 1-0 Tanzania, Samatta, Kocha Wafunguka Kufungwa

FT: Egypt 1-0 Tanzania. PASHAPASHA YA AFCON 2019: Nahodha wa Taifa Stars Mbwana Samatta baada ya mechi na Kocha wa Tanzania Emmanuel Amunike baada ya mechi anasema anakwenda kusahihisha makosa yaliyojitokeza kwenye mchezo wa leo kuelekea mchezo unaofuata.. . EgyptVsTanzania #MechiYaKirafiki #AFCON2019 #TaifaStars #AFCON #AFCON2019 #Egypt2019



Mchezaji Biashara Aomba Viatu Kwa Erasto Nyoni Wa Simba, Apewa
Mchezaji Biashara Aomba Viatu Kwa Erasto Nyoni Wa Simba, Apewa

BEKI wa Simba, Erasto Nyoni, mwenye control kubwa Ligi Kuu @erastonyoni4336 leo aliombwa viatu na mchezaji wa Biashara Mara na kama ilivyo desturi ya Fair Play, Master Nyoni bila hiyana alimkabidhi mchezaji huyo viatu hvyo kama ukumbusho kwake!! MCHEZO wa leo uliochezwa uwanja wa Taifa kati ya Simba na Biashara United umekamilika kwa timu zote kutoshana nguvu kwa kufungana bao 1-1. Biashara United walianza kupachika bao dakika ya 14 kupitia kwa Innocent Edwin na Simba walisawazisha kupitia kwa Clatous Chama dk ya 17. Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/kidanistars



Mashabiki Simba 'Watetema' Kabla Ya Kufungwa Na Sevilla 5-4
Mashabiki Simba 'Watetema' Kabla Ya Kufungwa Na Sevilla 5-4

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars TIMU ya Sevilla ya Hispania imefanikiwa kutwaa Kombe la SportPesaChallenge baada ya kuwafunga wenyeji, Simba SC mabao 5-4 katika mchezo maalum wa kirafiki Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam usiku wa leo. Lakini haukuwa ushindi mwepesi, kwani Sevilla waliomaliza nafasi ya sita kwenye La Liga msimu walilazimika kutoka nyuma kwa mabao 3-1 hadi mapumziko ili kushinda 5-4. Nahodha wa klabu, John Raphael Bocco alianza kuifungia Simba SC dakika ya nane kabla ya mshambuliaji mwenzake, Mnyarwanda Meddie Kagere kufunga la pili dakika ya 14. Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/kidanistars



Kocha Simba: Ajitetea Baada ya Kufungwa na Sevilla 5-4, Ni Timu Kubwa
Kocha Simba: Ajitetea Baada ya Kufungwa na Sevilla 5-4, Ni Timu Kubwa

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/kidanistars



NIYONZIMA: Sevilla ni zaidi Yetu, Wametufunga 5-4 Ni Wazoefu
NIYONZIMA: Sevilla ni zaidi Yetu, Wametufunga 5-4 Ni Wazoefu

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars TIMU ya Sevilla ya Hispania imefanikiwa kutwaa Kombe la #SportPesaChallenge baada ya kuwafunga wenyeji, #SimbaSC mabao 5-4 katika mchezo maalum wa kirafiki Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam usiku wa Mei 23, 2019. Lakini haukuwa ushindi mwepesi, kwani Sevilla waliomaliza nafasi ya sita kwenye La Liga msimu walilazimika kutoka nyuma kwa mabao 3-1 hadi mapumziko ili kushinda 5-4. Nahodha wa klabu, John Raphael Bocco alianza kuifungia Simba SC dakika ya nane kabla ya mshambuliaji mwenzake, Mnyarwanda Meddie Kagere kufunga la pili dakika ya 14. Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/kidanistars




« Previous Next »


User Detail Page

You can find user latest posts and related content on the page. Friends, comments for events / matches are also available on the page. Even you can find users who are same pleasure with current user.

#Travel, #SupportYourTeam, #AllAboutSports