🛑#LIVE:HAYA HAPA MAJEMBE MAPYA YA YANGA YAMSHUSHA FIGUREIDO,AZIZ KI,GUMEDE & WENGINE HAWA,WALIOACHWA
🛑#LIVE:HAYA HAPA MAJEMBE MAPYA YA YANGA YAMSHUSHA FIGUREIDO,AZIZ KI,GUMEDE & WENGINE HAWA,WALIOACHWA

#Yangasc #Yangaleo #alikamwe #usajilimpyayanga #Enghersi Wachezaji wa Yanga Waliosajiliwa Leo 1. Justice Figuareido kutoka Chipa United South Africa raia wa Eswatin ,TAKWIMU ZA JUSTICE FIGUAREIDO | MSIMU WA 2025/26 🇸🇿 Nyota wa kimataifa wa Eswatini, Justice Figuareido, ambaye hucheza kama winga na pia mshambuliaji wa kati 🇿🇦 BETWAY PREMIERSHIP (Chippa United) ⚽ Mechi: 26 🥅 Magoli: 2 🎯 Asisti: 5 ⏱️ Dakika alizocheza: 1,858 🌍 FIFA World Cup Qualifiers (Eswatini) 🇸🇿 Mechi: 9 ⚽ Magoli: 3 2. Thulani Gumede winga huyu kutoka Richardbay ya Afrika kus Rasmi niko hapa kuthibitisha Young Africans SC 🇹🇿 ipo hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa Winga Thulani Gumede mwenye umri wa miaka (25) raia wa Afrika Kusini 🇿🇦 kutoka Richards Bay FC kwaajili ya kuitumikia klabu hiyo kwa msimu ujao 2026-27. Thulani Gumede ni pendekezo la kocha mpya wa Klabu hiyo Manqoba Mngqithi, Hii ni mara baada ya kumkosa Winga Keletso Makgalwa aliyetimkia Simba SC kwa ushawishi mkubwa zaidi wa kocha Steve Barker, Gumede ana uwezo wa Kucheza Winga ya Kulia na Kushoto kwa ustadi mkubwa, Akiwa na Richards Bay amefunga Mabao (5) na Assists (5) katika Mechi (64). 3.Nasri Kombo Kutoka TRA United 4.Abdulnasir Asa Gamal Mlinzi/Winga Mashujaa 5.Azizi Ki 6. Mohamed Mussa mlinzi wa kati kutoka Mashujaa 7.Samba Kone Kutoka Muna FC ya Ivory Coast Mlinzi wa Kushoto 8.Juma Abushir Aka Messi wa Chuga kutoka Fountain Gate . Emmanuel Flomo 🔹Klabu ya wananchi Yanga imefikia makubaliano binafsi (personal terms) na winga hatari wa kulia wa Liberia na klabu ya Al Hilal Omdurman ya Sudan,Emmanuel Flomo (18). -Yanga wanajaribu utaratibu wa kuvunja mkataba wa mchezaji huyo katika klabu yake ya Al Hilal ya Sudan. -Flomo amefunga mabao 12 Msimu uliopita na kuibuka mchezaji chipukizi katika ligi ya Rwanda. Wachezaji wanaotemwa Yanga 1. Prince Dube amejiunga na hard rock ya Zimbabwe kwao 2. Mohamed Damaro 3. Frank Assink 4. Bubah Jammeh 5. Mohamed Doumbia 6. Balla Conte 7. Abubakari Salum sure boy free agent 8. Farid Mussa free agent 9. Celestine Ecua 10. Israel Mwenda amerejea Singida BS 11. Shadrack Boka anaondoka mrithi wake nitakutajia Kone 12. Lassine kouma 13. Emmanuel Mwanengo Mkopo ameenda Singida 14. Bakari Mwamnyeto mchezaji huru mkataba imeisha amepunguziwa mshahara na anasubiriw asaini 15. Shekhan Khamis Mkopo Singida BS Wachezaji wa Kigeni waliosalama Yanga Sc 1.🇲🇱 Djigui Diarra 2.🇨🇮 Yao Kouassi 3.🇰🇪 Duke Abuya 4.🇨🇩 Maxi Nzengeli 5. 🇦🇴 Laurindo Depu 6.🇺🇬 Allan Okello 7.🇨🇮 Pacome Zouzoua Kwa undani Zaidi tumekuwekea video nzima hapa MABENA TV Subscribe upate mengi Zaidi



WANANCHI WAMEFURAHI! PACOME KALETA TUMAINI JIPYAAA YANGA...
WANANCHI WAMEFURAHI! PACOME KALETA TUMAINI JIPYAAA YANGA...

©TUNAKUPA HABARI ZA UHAKIKA KUTOKA VYANZO VYA KUAMINIKA --------------------------------------------------------------------------------- JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM APA: REPORT TO US If you find any error in material provided please take a minute to tell us about it. We will resolve it at the earliest. COPYRIGHT VIOLATION For Copyright Issues: We try our best to verify the ownership of content with the contributor. If you think your material is wrongly used, or if its a violation of copyright, email us 1998nicholaus@gmail.com Welcome to REAL in the right place, by accessing Entertainment, Fashion and Sports news from within and outside the borders of Tanzania, our goal is to provide you with reliable and accurate information. Please click the SUBSCRIBE button to become a family member of this channel



🛎KOCHA WA YANGA AMWAGA MACHOZI PACOME KUVUNJIKA
🛎KOCHA WA YANGA AMWAGA MACHOZI PACOME KUVUNJIKA

Kiungo Mshambuliaji wa @yangasc Pacome Zouzoua Amepata Majeraha Mabaya ya Kuvunjika Mguu wake Wakati Mchezo wa Mwisho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya JKT Tanzania Kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuyo. Baada ya Mchezaji huyo Nyota @pacom_zouzoua Kupata Majeraha Mabaya ya Mguu wake, Mashabiki wa Soka Afrika wamejitokeza Kumpa Pole Nyota huyu Huku Wengi wakimuombea Kupona Haraka na kurejea Uwanjani kuwatumikia Wananchi. Get Well Soon Pacome Zouzoua .



MZEE MAGOMA AFICHUWA: BUS LA SIMBA, SIRI YA GSM, UWANJA YANGA, KAMWE CHAWA
MZEE MAGOMA AFICHUWA: BUS LA SIMBA, SIRI YA GSM, UWANJA YANGA, KAMWE CHAWA

MZEE MAGOMA: BUS SIMBA SILAHA MPYA, UWANJA YANGA, AFICHUCHWA SIRI YA GSM, KAMWE CHAWA



Clement Mzize alikuwepo uwanjani wakati Yanga Sc ikiifunga Namungo mabao.
Clement Mzize alikuwepo uwanjani wakati Yanga Sc ikiifunga Namungo mabao.

#MatokeoYaMechi #HighlightsZaMechi #UchambuziWaMpira #TransferNewsTanzania #BreakingNewsMpira #Yanga #YangaSC #YangaLeo #YangaNews #KikosiChaYanga #UsajiliWaYanga #YangaCAF #Simba #SimbaSC #SimbaLeo #SimbaNews #KikosiChaSimba #UsajiliWaSimba #SimbaCAF #AzamFC #AzamNews #CAFChampionsLeague #CAFCL #CAFConfederationCup #AFCON #TanzaniaFootball #MechiLeo #UtabiriWaMechi #MjadalaWaSoka #DerbyYaKariakoo #NBCPremierLeague #SokaAfrica #SportsNewsT #DerbyYaKariakoo #Yanga #YangaSC #YangaLeo #YangaNews #KikosiChaYanga #UsajiliWaYanga #YangaCAF #NguvuMoja #Wananchi #DaimaMbele #Simba #SimbaSC #SimbaLeo #SimbaNews #KikosiChaSimba #UsajiliWaSimba #SimbaCAF #Mnyama #NguvuMojaSimba #AzamFC #AzamNews #AzamLeo #KikosiChaAzam #UsajiliWaAzam #CAFCL #CAFChampionsLeague #CAFConfederationCup #AFCON #SokaAfrica #FootballAfrica #NBCPremierLeague #LigiKuuBara #MapambanoYaSoka #MjadalaWaSoka #UtabiriWaMechi #RatibaYaMechi #TakwimuZaMpira #MagoliLeo #GoliLaWiki #BestGoals #CleanSheet #Penalty #FreeKick #CornerKick #Offside #VAR #RefereeTZ #StadiumTZ #UwanjaWaMkapa




Next »


Popular Tags

#Paul George  #Shaquille O'Neal  #Goal Celebrations  #Chris Paul  #Golden State Warriors  #Paul George  #Shot Goals  #Sergio Aguero  #Paul Pogba  #Allen Iverson  

Popular Users

#UKCoachCalipari  #RealSkipBayless  #TimTebow  #hunterpence  #RyanBabel  #Joey7Barton  #serenawilliams  #ArianFoster  #PMOIndia  #KylieJenner  #MileyCyrus  #wizkhalifa  #JasonDufner  #TheEllenShow