#Simbasc #wachezajiwapyasimbasc #Ahmedally WACHEZAJI WAPYA WALIOSAJILIWA SIMBA MSIMU HUU 2026/2027 Waliosajiliwa 1. Kaletso Makgalwa Winga kutoka Shekukune 2.Serge Badjo kutoka Ivory Coast Mlinzi wa kati Sababu ni Rushine injury aliyopata fainal dhidi ya Azam CRDB imemfanya atachelewa kurejea uwanjani 3. Ibraheem Jabaar kiungo kutoka Stellenbosch alifanya kazi na Steve Berker 4. Nathaniel chilambo kutoka Azam FC ameshatambulishwa ndiye mrithi wa Kapombe Simba 5. Kelvin Nashon kutoka Singida BS ila alikuwa Kwa Mkopo Pamba Jiji 6.Bakari Msimu kutoka Coastal Union 7. Ismail Mgunda Mshambuliaji kutoka Mashujaa 8.Seleman Mwalimu imeshindikana kusajiliwa mazima kutoka wydad kutokana na wydad kutaka mpunga mrefu ila Simba wamekubaliwa kwenye Mkopo wa msimu mzima hivyo Seleman Mwalimu atasalia tena Simba Kwa Mkopo . Wanatazamwa kwenye kagame cup wakikidhi wanasajiliwa mazima 9. Ibrahim Doumbia Mshambuliaji raia Wa Mali, Ibrahim Doumbia amesaini mkataba wa mwaka mmoja ambao una kipengele cha kuongeza miaka miwili baadae katika klabu ya Simba Sc ya Tanzania. Doumbia alikuwa mfungaji Bora wa Ligi ya Mali Msimu ulopita akiwa na mabao 17. Simba hawataki kucheza kamali ya kumpa mkataba wa muda mrefu mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22, wakihofia akifeli na gharama za kuvunja mkataba. Doumbia msimu uliopita:- ๐ Mfungaji bora wa Msimu ๐ Mchezaji bora wa Msimu ๐ Mchezo bora chipukizi wa Msimu. ๐ Alikuwepo kwenye kikosi Bora cha msimu. DEAL OFF Ramadhan Chobwedo Winga kutoka TRA United amefeli vipimo vya afya Simba Dili lake limekufa rasmi Mpaka sasa Simba Sports Club imeachana na wachezaji wengi kuelekea msimu ujao. Je ni nani hakustahili kupewa Gudubaiii hapa utaniambia kwenye uwanja wa Comment hapo chini. 1. Chamou Karaboue. 2. Naby Camara. 3. Edwin Balua. 4.Joshua Mutale. 5. Awesu Awesu. 6. Omari Omari. 7. Moussa Camara. 8. Mzamiru Yassin 9. Ladack Chasambi 10. Jonathan Sowah 11. Mohamed Bajaber 12. Salehe Karabaka Mkopo Pamba Jiji 13. Valentino Mashaka Mkopo JKT Tanzania
Percy Tau Performances For Qatar SC In The 2024/25 Season. #PercyTau #PercyTauHighlights #PercyTauMPTauComps Percy Muzi Tau is a South African professional footballer who plays as a forward for Qatar Stars League side Qatar SC and the South Africa national team. ๐TURN ON NOTIFICATIONS TO NEVER MISS AN UPLOAD!๐ ๐Hit LIKE & SUBSCRIBEhttps://www.youtube.com/c/MPTauComps?... โ๏ธ Subscribe, Like & Comment for More! โ๏ธ ยฉ MPCompsTau
Buen clima en la Selecciรณn Argentina antes del duelo ante Jordania. ๐ฆ๐ท Messi, De Paul y Paredes protagonizaron un divertido momento durante el entrenamiento que refleja la uniรณn del grupo. ๐๐ Great atmosphere in Argentina's training camp ahead of the match against Jordan. ๐ฆ๐ท Messi, De Paul and Paredes shared a funny moment that shows the strong bond within the team. ๐๐ #Messi #DePaul #Paredes #Argentina #SeleccionArgentina #LeoMessi #WorldCup #GOAT #FootballShorts #Shorts
๐ฅ LE FINALI DEI 7SINS: CONTRO TUTTI E TUTTO! ๐ฅ Siamo a Bari per disputare le finali di un torneo che si รจ trasformato in una vera e propria battaglia dentro e fuori dal campo. Fin dai primi minuti, i 7Sins si trovano ad affrontare non solo avversari duri e poco sportivi, ma anche un ambiente ostile, con il pubblico completamente schierato contro. A rendere tutto ancora piรน complicato, diverse decisioni arbitrali discutibili che mettono a dura prova la squadra durante entrambe le finali. Nonostante le provocazioni, la pressione e le difficoltร , i 7Sins non smettono mai di lottare, dimostrando carattere, unione e voglia di vincere. Una storia di sacrificio, passione e calcio vero, dove ogni pallone pesa e ogni decisione puรฒ cambiare il destino della partita. โฝ Due finali da vivere minuto per minuto. ๐ Una squadra pronta a combattere fino allโultimo secondo. ๐ฅ Un torneo che non dimenticheremo facilmente. Lascia un like, commenta il momento che ti ha colpito di piรน e iscriviti al canale per seguire il percorso dei 7Sins! #7Sins #Finali #Bari #Calcio #Football #Torneo #MatchDay #Highlights #Goal #CalcioItaliano #PassioneCalcio #Squadra #Sport #Viral #FootballHighlights #Finale #ControTutti #CalcioDilettantistico #Forza7Sins #fairplay
SUBSCRIBE NOW: ๐ Site: https://simbasc.co.tz/ ๐ฑ App Store - https://apps.apple.com/tz/app/simba-sc/id1564389213 ๐ฑ Play Store - https://play.google.com/store/apps/details?id=com.simbasc&hl=en ๐ต Facebook: https://www.facebook.com/simbatanzania/ ๐ธ Instagram: https://www.instagram.com/simbasctanzania ๐ Twitter: https://twitter.com/SimbaSCTanzania ๐ถ Tiktok: https://www.tiktok.com/@simbascofficial About the Official Simba SC YouTube Channel: Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference ๐ต๐ดโช #NguvuMoja #Wenyenchi
Mnyama Simba ametinga fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB Bank kwa kuichapa Coastal Union mabao 4-0 katika mchezo mchezo wa nusu fainali uliopigwa kwenye Dimba la Sheikh Amri Abeid, Arusha. Magoli ya mchezo huu yamefungwa na Libase Gueye, Nickson Kibabage, Rushine de Reuck kwa penati na Clatous Chama.
Shabiki wa Yanga, Apagawa na Ushindi wa Simba wa Bao 4-0 dhidi ya Coastal union, ataka Yanga ijivunje kwa AZAM FC