Simba SC imechezea kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Tanzania Prisons, katika mchezo wa ligi kuu ya NBC uliopigwa kwenye Dimba la Jamhuri, Morogoro. Magoli yote mawili ya Tanzania Prisons yamefungwa na Samson Mbangula dakika ya 45 na 62 huku goli pekee la Simba likipatikana dakika ya 89 kupitia kwa Fabrice ngoma. Tazama Highlights....
Doublée de pape ousmane sakho en championat #senegal #simbasc #facup #football #papesakho #galsen #tanznaia #france ...
Timu ya Dodoma Jiji imepata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo wa ligi kuu Tanzania bara uliochezwa leo kwenye Dimba la Jamhuri Dodoma. Magoli ya Dodoma yamefungwa na Khamis Mcha na Anuary Jabir huku goli la JKT Tanznaia likifungwa na Edson Katanga. Pia tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
Kiungo wa timu ya taifa ya tanznaia Hamis Abdallah anayekipiga na timu ya Sony Sugar ya nchini Kenya amesema tangu aitwe Stars kwa mara ya kwanza heshima yake imeongezeka .