Kiungo wa simba Clatous Chama akitoa shukrani kwa mashabiki wa Simba kwa kumtolea rambirambi baada ya kufiwa na mkewe wiki chache zilizopita.
Tazama walichokifanya mashabiki wa klabu ya Simba baada ya mchezo wao dhidi ya Al Ahly kumalizika, walizonga gari lilobeba wachezaji wa klabu yao na kuimba huku wakicheza kwa furaha kusherekia ushindi wao waliopata leo dhidi ya klabu ya Misri Al Ahly.