๐จ ๐๐๐๐๐๐๐๐: ๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐ ๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐! ๐๐ฆ Simba SC ๐น๐ฟ rasmi itacheza dhidi ya Tusker ๐ฐ๐ช kwenye sherehe za SimbaDay 2026 na mchezo huo wa kimataifa wa kirafiki utachezwa tarehe 08-08-2026 katika uwanja wa Uhuru. ๐ Awali Simba walituma ombi la kuialika FC Dynamos ya Zimbabwe ๐ฟ๐ผ lakini mpaka sasa klabu hiyo ya Zimbabwe haijatoa majibu na ndipo Simba SC ikabadili maamuzi ya kuialika Tusker ya nchini Kenya ambayo imejibu kwa wakati na kukubali kushiriki mchezo huo. WACHEZAJI WAPYA SIMBA MPAKA SASA : ๐ฟ๐ฆ Keletso Makgalwa โ ametokea Sekhukhune United (Afrika Kusini). ๐ฎ๐ถ Ibraheem Jabaar โ ametokea Stellenbosch FC (Afrika Kusini). ๐จ๐ฎ Serge Badjo โ ametokea USM Alger (Algeria). ๐น๐ฟ Kelvin Nashon โ ametokea Pamba Jiji FC (Tanzania). ๐น๐ฟ Bakari Msimu โ ametokea Coastal Union (Tanzania).
#Simbasc #wachezajiwapyasimbasc #Ahmedally WACHEZAJI WAPYA WALIOSAJILIWA SIMBA MSIMU HUU 2026/2027 Waliosajiliwa 1. Kaletso Makgalwa Winga kutoka Shekukune 2.Serge Badjo kutoka Ivory Coast Mlinzi wa kati Sababu ni Rushine injury aliyopata fainal dhidi ya Azam CRDB imemfanya atachelewa kurejea uwanjani 3. Ibraheem Jabaar kiungo kutoka Stellenbosch alifanya kazi na Steve Berker 4. Nathaniel chilambo kutoka Azam FC ameshatambulishwa ndiye mrithi wa Kapombe Simba 5. Kelvin Nashon kutoka Singida BS ila alikuwa Kwa Mkopo Pamba Jiji 6.Bakari Msimu kutoka Coastal Union 7. Ismail Mgunda Mshambuliaji kutoka Mashujaa 8.Seleman Mwalimu imeshindikana kusajiliwa mazima kutoka wydad kutokana na wydad kutaka mpunga mrefu ila Simba wamekubaliwa kwenye Mkopo wa msimu mzima hivyo Seleman Mwalimu atasalia tena Simba Kwa Mkopo . Wanatazamwa kwenye kagame cup wakikidhi wanasajiliwa mazima 9. Ibrahim Doumbia Mshambuliaji raia Wa Mali, Ibrahim Doumbia amesaini mkataba wa mwaka mmoja ambao una kipengele cha kuongeza miaka miwili baadae katika klabu ya Simba Sc ya Tanzania. Doumbia alikuwa mfungaji Bora wa Ligi ya Mali Msimu ulopita akiwa na mabao 17. Simba hawataki kucheza kamali ya kumpa mkataba wa muda mrefu mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22, wakihofia akifeli na gharama za kuvunja mkataba. Doumbia msimu uliopita:- ๐ Mfungaji bora wa Msimu ๐ Mchezaji bora wa Msimu ๐ Mchezo bora chipukizi wa Msimu. ๐ Alikuwepo kwenye kikosi Bora cha msimu. DEAL OFF Ramadhan Chobwedo Winga kutoka TRA United amefeli vipimo vya afya Simba Dili lake limekufa rasmi Mpaka sasa Simba Sports Club imeachana na wachezaji wengi kuelekea msimu ujao. Je ni nani hakustahili kupewa Gudubaiii hapa utaniambia kwenye uwanja wa Comment hapo chini. 1. Chamou Karaboue. 2. Naby Camara. 3. Edwin Balua. 4.Joshua Mutale. 5. Awesu Awesu. 6. Omari Omari. 7. Moussa Camara. 8. Mzamiru Yassin 9. Ladack Chasambi 10. Jonathan Sowah 11. Mohamed Bajaber 12. Salehe Karabaka Mkopo Pamba Jiji 13. Valentino Mashaka Mkopo JKT Tanzania
I had the chance to interview NBA legend, @sergeibaka9 and of course I had to get him to say โEi Ghanafuoโ๐ฌ๐ญ๐คฃ Serge is from Congo๐จ๐ฉ and I love that both Congo and Ghana made it to the round of 32 for the FIFA World Cup! Hereโs to supporting our fellow Africans!๐ซถ๐พ @cerave @NBA #eighanafuo #ghanafuo #congolese #ghanaian
Mit den Trainern Serge Aubin und Kari Jalonen.
Mit den Trainern Serge Aubin und Kari Jalonen.
Mit den Trainern Serge Aubin und Kari Jalonen.
Mit den Trainern Serge Aubin und Craig Woodcroft.
Mit den Trainern Serge Aubin und Craig Woodcroft.