๐Ÿ›‘LIVE:SIMBA YATANGAZA LIST NZIMA YA WACHEZAJI WOTE WAPYA WALIOSAJILIWA MSIMU HUU, SIMBA MPYA BALAA
๐Ÿ›‘LIVE:SIMBA YATANGAZA LIST NZIMA YA WACHEZAJI WOTE WAPYA WALIOSAJILIWA MSIMU HUU, SIMBA MPYA BALAA

#Simbasc #wachezajiwapyasimbasc #Ahmedally WACHEZAJI WAPYA WALIOSAJILIWA SIMBA MSIMU HUU 2026/2027 Waliosajiliwa 1. Kaletso Makgalwa Winga kutoka Shekukune 2.Serge Badjo kutoka Ivory Coast Mlinzi wa kati Sababu ni Rushine injury aliyopata fainal dhidi ya Azam CRDB imemfanya atachelewa kurejea uwanjani 3. Ibraheem Jabaar kiungo kutoka Stellenbosch alifanya kazi na Steve Berker 4. Nathaniel chilambo kutoka Azam FC ameshatambulishwa ndiye mrithi wa Kapombe Simba 5. Kelvin Nashon kutoka Singida BS ila alikuwa Kwa Mkopo Pamba Jiji 6.Bakari Msimu kutoka Coastal Union 7. Ismail Mgunda Mshambuliaji kutoka Mashujaa 8.Seleman Mwalimu imeshindikana kusajiliwa mazima kutoka wydad kutokana na wydad kutaka mpunga mrefu ila Simba wamekubaliwa kwenye Mkopo wa msimu mzima hivyo Seleman Mwalimu atasalia tena Simba Kwa Mkopo . Wanatazamwa kwenye kagame cup wakikidhi wanasajiliwa mazima 9. Ibrahim Doumbia Mshambuliaji raia Wa Mali, Ibrahim Doumbia amesaini mkataba wa mwaka mmoja ambao una kipengele cha kuongeza miaka miwili baadae katika klabu ya Simba Sc ya Tanzania. Doumbia alikuwa mfungaji Bora wa Ligi ya Mali Msimu ulopita akiwa na mabao 17. Simba hawataki kucheza kamali ya kumpa mkataba wa muda mrefu mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22, wakihofia akifeli na gharama za kuvunja mkataba. Doumbia msimu uliopita:- ๐Ÿ† Mfungaji bora wa Msimu ๐Ÿ† Mchezaji bora wa Msimu ๐Ÿ† Mchezo bora chipukizi wa Msimu. ๐Ÿ† Alikuwepo kwenye kikosi Bora cha msimu. DEAL OFF Ramadhan Chobwedo Winga kutoka TRA United amefeli vipimo vya afya Simba Dili lake limekufa rasmi Mpaka sasa Simba Sports Club imeachana na wachezaji wengi kuelekea msimu ujao. Je ni nani hakustahili kupewa Gudubaiii hapa utaniambia kwenye uwanja wa Comment hapo chini. 1. Chamou Karaboue. 2. Naby Camara. 3. Edwin Balua. 4.Joshua Mutale. 5. Awesu Awesu. 6. Omari Omari. 7. Moussa Camara. 8. Mzamiru Yassin 9. Ladack Chasambi 10. Jonathan Sowah 11. Mohamed Bajaber 12. Salehe Karabaka Mkopo Pamba Jiji 13. Valentino Mashaka Mkopo JKT Tanzania



Inside Chicago: Intense Training & Access All Areas with Liverpool
Inside Chicago: Intense Training & Access All Areas with Liverpool

Go behind the scenes as the Reds depart from the AXA Training Centre, heading to Chicago where they will prepare for their first games of pre-season, including footage on the flight, at Lake Michigan and coverage of Andoni Iraola's press conference. ๐Ÿ”ด Watch the Reds this pre-season with All Red Video with a 14 day free trial. - Full details can be found at video.liverpoolfc.com/pre-season - Ts&Cs apply ๐Ÿ‘‰ You can also watch every pre-season game this summer with an Anfield Tier YouTube Channel Membership: https://www.youtube.com/LiverpoolFC/join (this game is not available in the UK or USA). ๐Ÿ”” SUBSCRIBE for free, so you never miss a video or live stream! https://www.youtube.com/subscription_center?add_user=LiverpoolFC ๐Ÿ›๏ธ Shop LFC - Get your replica kits and much more! https://lfc.tv/3YTiEyj โ—๏ธSubtitles proving difficult to follow? You can edit the settings in order to make them as readable and personalised as possible. Just select subtitles from the settings menu, then options, where you can modify the font, size, colour, background and much more.



He BOOED with his whole chest ๐Ÿ˜‚
He BOOED with his whole chest ๐Ÿ˜‚

Even in the seventh round, the NHL Draft delivered a hilarious moment. ๐Ÿ˜‚ As the Montreal Canadiens announced a trade with the Los Angeles Kings, one fan let out an all-time boo that had everyone laughing. โ–ถ๏ธ SUBSCRIBE: https://youtube.com/nhl ๐Ÿ”ฅMORE NHL VIDEOS: https://youtube.com/playlist?list=PL1NbHSfosBuGoyOevGOoJ6nHPD7nDRVFn&si=MHZlxPpXKq2JlQx1 #nhl #hockey #highlights #stanleycup



Mashujaa 0-2 Yanga | Highlights | NBC Premier League - 13/06/2026
Mashujaa 0-2 Yanga | Highlights | NBC Premier League - 13/06/2026

#NBCPL: Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo wa NBC Premier League kati ya Yanga SC ikiwa ugenini dhidi ya Mashujaa FC. Mechi imepigwa katika dimba la Lake Tanganyika Kigoma. Magoli yamefungwa na Mudathir Yahya na Bakari Mwamnyeto FT: Mashujaa 0-2 Yanga #NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi #MashujaaVsYanga #Mashujaa #YangaSC #MSHYNG



Mwakinyo Alivyopigwa na Michel Soro 11/06/2026
Mwakinyo Alivyopigwa na Michel Soro 11/06/2026

Bondia Mtanzania Hassan Mwakinyo leo Juni 11, 2026 amepanda ulingoni Abidjan Nchini Ivory Coast kuwania mkanda wa IBO katika pambano la round 12 dhidi ya Bondia Michel Soro raia wa Ivory Coast na Ufaransa. Mwakinyo katika pambano hilo la round 12 la uzito wa middleweight, amepoteza kwa kupigwa kwa TKO round ya 9 na kufanya pambano hilo kuwa pambano lake la tatu kuwahi kupoteza kwa KO. Hili linakuwa pambano la 4 kwa Hassan Mwakinyo, Moja akipigwa kwa point na matatu kwa KO. Michel Soro leo amepigana pambano lake la 45, amefanikiwa kushinda kwa KO kwa mara ya 28, akipoteza mara 4 na ametoka sare mara 2.




Next »


Popular Tags

#Mesut Ozil  #Best Goals Ever  #Shaquille O'Neal  #Lionel Messi  #Kawhi Leonard  #Goalkeeper Saves  #David Silva  #Best Ball Controls  #Paul Pogba  #Miami Heat  

Popular Users

#billbarnwell  #BringerOfRain20  #TheRock  #MileyCyrus  #nyt4thdownbot  #BrunoMars  #THNRyanKennedy  #TimTebow  #richarddeitsch  #CMPunk  #KevinHart4real  #JoelEmbiid  #ddlovato  #AntDavis23  #SrBachchan