Taifa Stars Kuikabili Cape Varde kwa Dreamliner!!
Taifa Stars Kuikabili Cape Varde kwa Dreamliner!!

#TAIFASTARS Taifa Stars Kuikabili Cape Varde kwa Dreamliner!! Serikali imekubali kutoa ndege yake aina Boing 787 Dreamliner kwa ajili ya kuisafirisha timu ya taifa ya Tanzania –Taifa Stars kwenda Mjini Praia Cape Varde kwa ajili ya mchezo wa raundi ya tatu ya michuano ya kufuzu kwa ajili ya michuano ya AFCON ya Cameroon mapema mwakani. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt Harrison Mwakyembe amewaambia waandishi wa Habari kuwa hatua hiyo imefikiwa baada ya kufanya tathmini ya mazingira ya michezo miwili baina ya stars na Cape Varde na mazingira ya ndege za kawaida za biashara. Kwa upande wake Rais wa TFF Wallace Karia ametoa wito kwa wadau wa soka nchini kujitokeza kwa wingi kusafiri na timu hiyo kutokana na uwepo wa usafiri wa moja kwa moja kwenda Mjini Praia, nchini Cape Varde. Taifa Stars itashuka Dimbani October 12, mwaka huu kuumana na Cape Varde katika mchezo wa Raundi ya tatu ya kundi L ambalo pia linaundwa na timu za Uganda na Lesotho. bit.ly/2AAQe1d iOS: http://apple.co/2Assf4M Subscribe http://ww.youtube.com/c/uwazi FACEBOOK: https://www.facebook.com/Globalpublis... TWITTER: https://twitter.com/GlobalHabari Visit https://globalpublishers.co.tz/, Suazi1 http://www.youtube.com/c/uwazi1 WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: https://www.facebook.com/Globalpublis... TWITTER: https://twitter.com/GlobalHabari INSTAGRAM: https://www.instagram.com/globalpubli.



CECAFA KAGAME CUP 2018: FULL HIGHLIGHTS: AZAM FC 4-2 RAYON SPORTS (9/7/2018)
CECAFA KAGAME CUP 2018: FULL HIGHLIGHTS: AZAM FC 4-2 RAYON SPORTS (9/7/2018)

6:59 Homa imenizidia OSS Balantanda Recommended for you 6:24 Masanja alivyowajia juu watu msiba wa mtoto wa Muna Love Mtanzania Digital Recommended for you New 19:26 Mpaka Home: Haya Ndiyo Maisha Halisi ya Bambo, Global TV Yamuibukia Usiku Global TV Online Recommended for you 10:12 JPM azidi kuonesha makali yake "2020 Njia ni Nyeupe Kabisa" Topten Tv 42K views New 3:16 Mkude Simba na Bwakila Efm Radio Tanzania 405K views 3:15 Goli, Simba 1 - 0 As ports KAGAME CUP ShutikaliTV 42K views New 19:22 03.11.2007. Arsenal vs Man Utd WSH Recommended for you Makonda Alivyokosa Penalti Mechi ya Wabunge Vs Mabalozi Usalama Barabarani Global TV Online 126K views Kauli ya kwanza ya Mwigulu tangu atenguliwe “Nitaacha Ubunge?” Millard Ayo 149K views New Kocha Masoud djumaa Awachana wanaosema Pascal wawa ni mzee ShutikaliTV 6.6K views New Baba mzazi wa Patrick afunguka kuhusu Muna Love, Casto Dickson Mtanzania Digital 263K views New MITIMINGI # 180 UKITAKA KUMFANYA MWANAUME(MUME) AWE WAKO TU, ASIWE WETU. FANYA HAYA UTADUMU NAYE. MITIMINGI ONLINE TV Recommended for you mwajuma- MARIJANI RAJAB jphamber Recommended for you Mimi Ni Malaya/Natongoza Wanaume/ Siwezi kuwa Na Mwanaume Mmoja-FEY Mid One Tv 13K views New Hivi ndivyo ilivyotua Ndege kubwa Boeing 787-8 na kupokelewa na JPM Habari Mpya 101K views New Masoud Djumaa baada ya simba kuwakufunga As ports Asema haya ShutikaliTV 10K views New Kangi Lugola 'analiamsha dude'. Tazama anachokimaanisha? Azam TV 20K views New Namna JPM alivyoipokea ndege mpya Boeing 787-8 Dreamliner Mtanzania Digital 90K views New Manara Afungukia Uvumi wa Simba kumtimua Beki Wawa, Je Kwasi atachukua nafasi Yake Maisha Tv 26K views New Mshambuliaji nyota wa mabingwa watetezi Azam FCShaban Idd Chilunda anaipeleka timu yake nusu fainali baada ya kufunga magoli manne na kufikisha magoli SABA katika michuano ya mwaka huu. Chilunda ndiye anayeongoza katika safu ya wapachika mabao mpaka sasa. FT'- AZAM FC 4-2 RAYON SPORTS





Popular Tags

#Franck Ribery  #Goal Celebrations  #Best Goals Ever  #David Silva  #Shaquille O'Neal  #Golden State Warriors  #Best Ball Controls  #Neymar  #Kawhi Leonard  #Best Ball Controls  

Popular Users

#KylieJenner  #billbarnwell  #CMPunk  #nfl  #taylorswift13  #oldhossradbourn  #Buccigross  #realmadrid  #TheRock  #DwyaneWade  #normmacdonald  #katzm  #Buster_ESPN  #NASA  #KevinHart4real