SELEMAN MWALIMU AMWAGA MACHOZI UWANJANI AKISIMULIA SAFARI YA MAISHA YAKE
SELEMAN MWALIMU AMWAGA MACHOZI UWANJANI AKISIMULIA SAFARI YA MAISHA YAKE

Moshi. Mshambuliaji wa Simba SC na Taifa Stars, Selemani Mwalimu, ameshindwa kuzuia hisia zake na kuangua kilio wakati wa hafla ya ufunguzi wa Uwanja wa Mandela uliopo kata ya Pasua mjini Moshi mkoani Kilimanjaro, iliyoandaliwa kuelekea kuanza kwa michuano ya Zuberi Cup 2026. Mwalimu amelia alipokuwa akisimulia maisha magumu aliyopitia kabla ya kufanikiwa katika soka, akisema uwanja huo una kumbukumbu nyingi za safari yake ya kutafuta mafanikio. Akizungumza na waandishi wa habari mjini Moshi, Mwalimu amesema akiwa pamoja na rafiki yake, Maulid, walikuwa wakifika uwanjani hapo usiku wa manane kufanya mazoezi licha ya kukosa vifaa muhimu, wakiamini siku moja ndoto zao zingetimia. "Huu uwanja una historia kubwa sana kwenye maisha yangu. Mimi na mshikaji wangu Maulid tuliteseka sana hapa. Kuna kipindi tulikuwa tunakuja kufanya mazoezi usiku wa manane tukiwa hatuna hata viatu, tukiamini ipo siku tutatoboa. Kurudi hapa leo nikiwa hivi, siamini macho yangu. Namshukuru Mungu sana," amesema Mwalimu huku akifuta machozi. Kauli yake iliyoambatana na kilio imegusa wengi waliohudhuria hafla hiyo, huku baadhi wakimshangilia na wengine wakionekana kuguswa na simulizi hiyo ya maisha yake.



SC Braga CP 1-0 Sporting CP | Taça de Portugal 13-12-2025 | Leonete Maísa Correia | Full Match FHD
SC Braga CP 1-0 Sporting CP | Taça de Portugal 13-12-2025 | Leonete Maísa Correia | Full Match FHD

Taça de Portugal Futebol Feminino 2025/2026 - Oitavos-De-Final | Estádio Amélia Morais | Braga, 13 de Dezembro 2025 ...



ALICHOJIBU MWAKINYO BAADA ya KUULIZWA KWANINI AMELIA HADHARANI, AMTAJA RAIS SAMIA..
ALICHOJIBU MWAKINYO BAADA ya KUULIZWA KWANINI AMELIA HADHARANI, AMTAJA RAIS SAMIA..

ALICHOJIBU MWAKINYO BAADA ya KUULIZWA KWANINI AMELIA HADHARANI, AMTAJA RAIS SAMIA.. Bondia Hassan Mwakinyo amefanikiwa kuutetea mkanda wake wa 'WBo' usiku wa kuamkia leo katika pambano la 'The Night of Title Defence' kwa kumpiga 'Ko' raundi ya tisa mpinzani wake kutoka Ghana, Daniel Lartey.



Santiago Matias explica cómo empezó su rivalidad con #LapizConciente 😯‼️ #alofoke #alofokeradioshow
Santiago Matias explica cómo empezó su rivalidad con #LapizConciente 😯‼️ #alofoke #alofokeradioshow

#rochyrd #elalfa #alofokeradioshow #entrevista #chimbala #alofokeradioshowtiktok #tiktok #karolgcontigo LA CHARY Y FOKITO ¿DONDE ESTAN LOS CHELITOS? (THE PODCAST EPISODIO 1) Santiago Matias le dice a su esposa en su cara que lo tiene harto #alofoke #alofokeradioshow #humor #tolentino #estonoesradio #ramontolentino #rochyrd #anuelaa #yaisel #elalfa #yailin #anuel tremendo lío entre caro brito y vitaly sanchez, vitaly sanchez y caro brito, amelia alcantara Crazy desing alofoke, alofoke radio show crazy desing, alofoke y su esposa Alofoke y su esposa, santiago matias, santiago matias y su esposa, charylie y foke, foke y su esposa, alofoke y chary, charylie y santiago matias, santiago matias y charylie




Next »


Popular Tags

#Best Goals Ever  #Football Defensive Skills  #Gareth Bale  #Zlatan Ibrahimovi  #Tristan Thompson  #Best Goalkeeper Saves  #Anthony Davis  #David Silva  #Franck Ribery  #Kawhi Leonard  

Popular Users

#realDonaldTrump  #StephenCurry30  #instagram  #RealSkipBayless  #BarackObama  #rogerfederer  #iamsrk  #floydmayweather  #taylorswift13  #sydneyleroux  #neymarjr  #BaileyLAKings  #BMcCarthy32  #hunterpence