Kwenye mechi kubwa vimbwenga ni vingi sana haswa kijana huyu ambaye alikutana na dhahama ya kukoswa kupigwa na stewart wa uwanjani huku viongozi wa Klabu ya Yanga senzo,manara,hersi wakipongezana baada ya kupata ushindi wa tabu dhidi ya Mbao wabishi kutoka Mwanza