live_kutoka IVORY COST STAR'S YAANGUKIA PATUPU,YATUPWA NJEE AFCON 2024 | BACCA NDIO SHUJAA WETU ...
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC,Ahmed Ally aunguruma baada ya Kumchabanga Coastal Union Goli 1-0 Kwenye Mchezo wa Hatua ya 32 Bora ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports, Uliyochezwa Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Baada ya Kukiwasha dhidi ya Club Africain, Nyota wetu Salum Abubakar Sure Boy amezungumza na Yanga Tv kuhusu mchezo ...
CURRIE CUP 15S AUSTRALIA 7S FIJI 7S SHUJAA 7S SOUTH AFRICA 7S NEW ZEALAND 7S USA 7S.
Leo Februari 24/2022 Mpenja Tv Tumefanya mahojiano na Mchambuzi wa Soka na aliyewahi pia kucheza kunako klabu ya Yanga Sc Ally Mayay Tembele. Tumezungumza naye mamabo mengi ya Kiufundi kunako Klabu ya Yanga Sc Msimu huu ubora na madhaifu yao yako wapi?... Fungua Video hii kufahamu zaidi tuliyoyazungumza na Ally Mayay Tembele.. #AllyMayay #Mchambuzi #YangaSc #MtibwaSugarVsYangaSc #NBCPremierLeague #MpenjaTv
Mpenja Tv tumefanya mahojiano na Mchambuzi wa Soka wa Azam Tv Ali Kamwe ambaye ameeleza ubora wa Simba na ...
Hatmaye Mtangazaji Mwandamizi wa soka wa Azam TV, Baraka Mpenja a.k.a Sauti ya Radi, ametimiza ahadi yake ya kukutana LIVE na Mtoto shabiki wa Yanga, Adil Saad Maarufu ‘Adil Yanga’ ambaye ana kipaji kikubwa cha Kutangaza mpira wa Miguu. Adil naye ametimiza ndoto ya kuonana na shujaa wake na mtu wa mfano kwake (Role Model), Baraka Mpenja. Mpenja TV imewakutanisha wawili hao Februari 5, 2022 muda mfupi baada ya mechi ya ligi kuu ya NBC kati ya Yanga na Mbeya City kumalizika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es salaam. Enjoy mahojiano haya…… #BarakaMpenjaVsAdilYanga #AdilSaad #YangaSC #tff #tplb #MpenjaTV
Like, share and subscribe for more content @World Rugby #spain7s #shujaa #Kenya7s.