#DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi
#DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi
#timuyawananchi #arsenal #yangatv #rajacasablanca #rajacasablanca #azamfc #azamfc #zuchu #yangabingwa #yangasc #yangatv
#DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi
#NBCPL: Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo wa NBC Premier League kati ya Yanga SC ikiwa ugenini dhidi ya Mashujaa FC. Mechi imepigwa katika dimba la Lake Tanganyika Kigoma. Magoli yamefungwa na Mudathir Yahya na Bakari Mwamnyeto FT: Mashujaa 0-2 Yanga #NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi #MashujaaVsYanga #Mashujaa #YangaSC #MSHYNG
Mpira umeanzia kwa Djigui Diarra, ukaguswa na Prince Dube kisha Mudathir Yahya akaupokea kwa umahiri na kuujaza nyavuni. 41’: Mashujaa 0-1 Yanga