#HIGHLIGHTS:MAGOLI YOTE YANGA SC 7-0 KIGAMBONI UNITED(B-19),TOURE, ZAKOUANI&WACHEZAJI HAWA WAMEFUNGA
#HIGHLIGHTS:MAGOLI YOTE YANGA SC 7-0 KIGAMBONI UNITED(B-19),TOURE, ZAKOUANI&WACHEZAJI HAWA WAMEFUNGA

#Yangasc #YangascVSKigamboniUnited(B-19) #friendlymatch klabu ya Yanga Leo imecheza mchezo wa Kirafiki dhidi ya Timu ya Kigamboni United(B-19) inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza (Championship) na kushinda Magoli 7-0. Magoli: 1. Erick Mwijage (Assist Mihambo) 2. Chekh Toure (PEN) 3. Chekh Toure (Assist Zimbwe) 4. Kazimoto 5. Kazimoto (Assist Zakuoani) 6. Zakuoani (Assist Toure) 7. Maxi (assist Boka)



๐Ÿ›‘#LIVE:YANGA YATANGAZA WACHEZAJI WOTE WAPYA WALIOSAJILIWA,SHALULILE, GIRUMUGISHA,AZIZI KI NA HAWA
๐Ÿ›‘#LIVE:YANGA YATANGAZA WACHEZAJI WOTE WAPYA WALIOSAJILIWA,SHALULILE, GIRUMUGISHA,AZIZI KI NA HAWA

#Petershalulile #JeanGirumugisha #Azizki #Yangasc #Tetesizausajilimpya Wachezaji wa Yanga Waliosajiliwa Leo 1. Justice Figuareido kutoka Chipa United South Africa raia wa Eswatin ,TAKWIMU ZA JUSTICE FIGUAREIDO | MSIMU WA 2025/26 ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฟ Nyota wa kimataifa wa Eswatini, Justice Figuareido, ambaye hucheza kama winga na pia mshambuliaji wa kati ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ BETWAY PREMIERSHIP (Chippa United) โšฝ Mechi: 26 ๐Ÿฅ… Magoli: 2 ๐ŸŽฏ Asisti: 5 โฑ๏ธ Dakika alizocheza: 1,858 ๐ŸŒ FIFA World Cup Qualifiers (Eswatini) ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฟ Mechi: 9 โšฝ Magoli: 3 2. Thulani Gumede winga huyu kutoka Richardbay ya Afrika kus Rasmi niko hapa kuthibitisha Young Africans SC ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ipo hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa Winga Thulani Gumede mwenye umri wa miaka (25) raia wa Afrika Kusini ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ kutoka Richards Bay FC kwaajili ya kuitumikia klabu hiyo kwa msimu ujao 2026-27. Thulani Gumede ni pendekezo la kocha mpya wa Klabu hiyo Manqoba Mngqithi, Hii ni mara baada ya kumkosa Winga Keletso Makgalwa aliyetimkia Simba SC kwa ushawishi mkubwa zaidi wa kocha Steve Barker, Gumede ana uwezo wa Kucheza Winga ya Kulia na Kushoto kwa ustadi mkubwa, Akiwa na Richards Bay amefunga Mabao (5) na Assists (5) katika Mechi (64). 3. Housseine Zakouani Winga kutoka Ufaransa lkn anawakilisha timu ya Taifa ya Comoro . 4.Azizi Ki amerejea tena Yanga Kwa mkataba wa Miaka 2 kutoka Al Ittihad ya libya 5. Eric Mwijage Winga kutoka KMC amewahi kupita pia Kagera Sugar amesaini mkataba wa Miaka 2 6. Mohamed Mussa mlinzi wa kati kutoka Mashujaa 7.Juma Abushir Aka Messi wa Chuga kutoka Fountain Gate 8. Hussein Juma Mihambo straika kutoka Mashujaa amewahi kupita jomo cosmas ya south Africa na aliwahi kufanya majaribio Dubai ni kinda aliyetikisa Zaidi na Serengeti Boys,msimu huu Kafunga goli 1 pekee dhidi ya Fountain Gate 9. Abdulnasir Asa Gamal Mlinzi/Winga Mashujaa 10. Morice Chukwu kiungo na mlinzi wa kati Kutokea Singida BS Tetesi wanaohusishwa kusajiliwa 1. Jean Girumugisha WINGA fundi na hatari Zaidi Barani Africa MVP wa Ligi ya Rwanda msimu uliopita alihusishwa kutambulishwa na mabwanyenye wa Libya Al Ahly Tripol lakini inaonekana Yanga wamemnasa ngoja tusubiri muda utafika inaelezwa hii itakuwa surprise package ya Yanga pale uhuru stadium kwenye Yanga Day 9.8.2026 2. Alphonce Mabula mtanzania anayekipiga huko Bahrain Azerbaijan 3. Peter shalulile mshambuliaji wa Namibia na Mamelod Sundown Wachezaji wanaotemwa Yanga 1. Prince Dube amejiunga na hard rock ya Zimbabwe kwao 2. Mohamed Damaro 3. Frank Assink 4. Bubah Jammeh 5. Mohamed Doumbia 6. Balla Conte 7.Farid Mussa free agent 8. Celestine Ecua 9. Israel Mwenda amerejea Singida BS 10.Lassine kouma 11. Emmanuel Mwanengo Mkopo ameenda Singida 12. Shekhan Khamis Mkopo Singida BS Walioongezewa mkataba mpya 1. Yao kouassi 2. Kibwana shomari 3.Salum Abubakari Sure boy 4. Chadrack Boka 5. Bakari Mwamnyeto Wachezaji wa Kigeni waliosalama Yanga Sc 1.๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฑ Djigui Diarra 2.๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ Yao Kouassi 3.๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ Chadrack Boka 4.๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช Duke Abuya 5.๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ Maxi Nzengeli 6.๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ด Laurindo Depu 7.๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฌ Allan Okello 8.๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ Pacome Zouzoua



๐Ÿ›‘#LIVE:HAYA HAPA MAJEMBE MAPYA YA YANGA YAMSHUSHA FIGUREIDO,AZIZ KI,GUMEDE & WENGINE HAWA,WALIOACHWA
๐Ÿ›‘#LIVE:HAYA HAPA MAJEMBE MAPYA YA YANGA YAMSHUSHA FIGUREIDO,AZIZ KI,GUMEDE & WENGINE HAWA,WALIOACHWA

#Yangasc #Yangaleo #alikamwe #usajilimpyayanga #Enghersi Wachezaji wa Yanga Waliosajiliwa Leo 1. Justice Figuareido kutoka Chipa United South Africa raia wa Eswatin ,TAKWIMU ZA JUSTICE FIGUAREIDO | MSIMU WA 2025/26 ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฟ Nyota wa kimataifa wa Eswatini, Justice Figuareido, ambaye hucheza kama winga na pia mshambuliaji wa kati ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ BETWAY PREMIERSHIP (Chippa United) โšฝ Mechi: 26 ๐Ÿฅ… Magoli: 2 ๐ŸŽฏ Asisti: 5 โฑ๏ธ Dakika alizocheza: 1,858 ๐ŸŒ FIFA World Cup Qualifiers (Eswatini) ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฟ Mechi: 9 โšฝ Magoli: 3 2. Thulani Gumede winga huyu kutoka Richardbay ya Afrika kus Rasmi niko hapa kuthibitisha Young Africans SC ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ipo hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa Winga Thulani Gumede mwenye umri wa miaka (25) raia wa Afrika Kusini ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ kutoka Richards Bay FC kwaajili ya kuitumikia klabu hiyo kwa msimu ujao 2026-27. Thulani Gumede ni pendekezo la kocha mpya wa Klabu hiyo Manqoba Mngqithi, Hii ni mara baada ya kumkosa Winga Keletso Makgalwa aliyetimkia Simba SC kwa ushawishi mkubwa zaidi wa kocha Steve Barker, Gumede ana uwezo wa Kucheza Winga ya Kulia na Kushoto kwa ustadi mkubwa, Akiwa na Richards Bay amefunga Mabao (5) na Assists (5) katika Mechi (64). 3.Nasri Kombo Kutoka TRA United 4.Abdulnasir Asa Gamal Mlinzi/Winga Mashujaa 5.Azizi Ki 6. Mohamed Mussa mlinzi wa kati kutoka Mashujaa 7.Samba Kone Kutoka Muna FC ya Ivory Coast Mlinzi wa Kushoto 8.Juma Abushir Aka Messi wa Chuga kutoka Fountain Gate . Emmanuel Flomo ๐Ÿ”นKlabu ya wananchi Yanga imefikia makubaliano binafsi (personal terms) na winga hatari wa kulia wa Liberia na klabu ya Al Hilal Omdurman ya Sudan,Emmanuel Flomo (18). -Yanga wanajaribu utaratibu wa kuvunja mkataba wa mchezaji huyo katika klabu yake ya Al Hilal ya Sudan. -Flomo amefunga mabao 12 Msimu uliopita na kuibuka mchezaji chipukizi katika ligi ya Rwanda. Wachezaji wanaotemwa Yanga 1. Prince Dube amejiunga na hard rock ya Zimbabwe kwao 2. Mohamed Damaro 3. Frank Assink 4. Bubah Jammeh 5. Mohamed Doumbia 6. Balla Conte 7. Abubakari Salum sure boy free agent 8. Farid Mussa free agent 9. Celestine Ecua 10. Israel Mwenda amerejea Singida BS 11. Shadrack Boka anaondoka mrithi wake nitakutajia Kone 12. Lassine kouma 13. Emmanuel Mwanengo Mkopo ameenda Singida 14. Bakari Mwamnyeto mchezaji huru mkataba imeisha amepunguziwa mshahara na anasubiriw asaini 15. Shekhan Khamis Mkopo Singida BS Wachezaji wa Kigeni waliosalama Yanga Sc 1.๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฑ Djigui Diarra 2.๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ Yao Kouassi 3.๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช Duke Abuya 4.๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ Maxi Nzengeli 5. ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ด Laurindo Depu 6.๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฌ Allan Okello 7.๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ Pacome Zouzoua Kwa undani Zaidi tumekuwekea video nzima hapa MABENA TV Subscribe upate mengi Zaidi



SIMBA Watangaza WACHEZAJI WAPYA Nane (8) WALIOSAJILIWA Dirisha Kubwa La Usajili 2026/2027
SIMBA Watangaza WACHEZAJI WAPYA Nane (8) WALIOSAJILIWA Dirisha Kubwa La Usajili 2026/2027

Kocha BARKER Atangaza WACHEZAJI Nane (8) WALIOSAJILIWA Dirisha Kubwa La Usajili 2026/2027 #usajili #dirishakubwalausajili #simbasc #yangasc #msimamowaligikuunbc #magoliyaleo #simbasc #yangasc #chama #simbasc #yangasc #2026 #yangasc #traunited #live #kikosichasimbaleo #kikosichasimba #simbasc #stademalien #cafcl #yangasc #kmcfc #simba #kikosichasimba #kikosichayanga #yangasc #simbasc #simbaday #yangaday #tetesizausajili #usajili #dirishakubwalausajili #usajilisimba #usajiliyanga #tetesizausajili #simbasc #yangasc #yanga #simbasc #dirishadogolausajili #dirishakubwalausajili #2023 #wachezajiwanaotemwasimba #wachezajiwanaotemwayanga #usajili #simba #magoli #chama #maxinzengeli #manara #alikamwe #ahmedally #gsm #moodewji #raissamia #samiasuluhu #caf #cafcc #cafcl #harmonize #diamondplatnumz #alikiba #wcb #wasafi #millardayo #wasafitv #music #football #news #sports #samatta #novatusdismas #ccm #chadema #zanzibar #africa #cecafa #live #ngaiyajamii #fifa #messi #ronaldo



Kocha BARKER Atangaza  Orodha Ya WACHEZAJI 13 WANAOTEMWA SIMBA Dirisha Kubwa La Usajili 2026/2027
Kocha BARKER Atangaza Orodha Ya WACHEZAJI 13 WANAOTEMWA SIMBA Dirisha Kubwa La Usajili 2026/2027

Kocha BARKER Atangaza Orodha Ya WACHEZAJI 13 WANAOTEMWA SIMBA Dirisha Kubwa La Usajili 2026/2027 #usajili #dirishakubwalausajili #simbasc #yangasc #msimamowaligikuunbc #magoliyaleo #simbasc #yangasc #chama #simbasc #yangasc #2026 #yangasc #traunited #live #kikosichasimbaleo #kikosichasimba #simbasc #stademalien #cafcl #yangasc #kmcfc #simba #kikosichasimba #kikosichayanga #yangasc #simbasc #simbaday #yangaday #tetesizausajili #usajili #dirishakubwalausajili #usajilisimba #usajiliyanga #tetesizausajili #simbasc #yangasc #yanga #simbasc #dirishadogolausajili #dirishakubwalausajili #2023 #wachezajiwanaotemwasimba #wachezajiwanaotemwayanga #usajili #simba #magoli #chama #maxinzengeli #manara #alikamwe #ahmedally #gsm #moodewji #raissamia #samiasuluhu #caf #cafcc #cafcl #harmonize #diamondplatnumz #alikiba #wcb #wasafi #millardayo #wasafitv #music #football #news #sports #samatta #novatusdismas #ccm #chadema #zanzibar #africa #cecafa #live #ngaiyajamii #fifa #messi #ronaldo



๐Ÿ›‘#LIVE YANGA YASHUSHA MASHINE HIZI AZIZ KI, KOUTIAMA KOMBO NA WENGINE HAWA, YAACHANA NA HAWA WOTE 12
๐Ÿ›‘#LIVE YANGA YASHUSHA MASHINE HIZI AZIZ KI, KOUTIAMA KOMBO NA WENGINE HAWA, YAACHANA NA HAWA WOTE 12

#Yangasc #Tetesizausajili #UsajilimpyaYangasc Fagio la CHUMA limepita Bila huruma jangwani Wachezaji wanaotemwa Yanga 1. Prince Dube amejiunga na hard rock ya Zimbabwe kwao 2. Mohamed Damaro 3. Frank Assink 4. Bubah Jammeh 5. Mohamed Doumbia 6. Balla Conte 7. Abubakari Salum sure boy 8. Farid Mussa 9. Celestine Ecua 10. Israel Mwenda amerejea Singida BS 11. Shadrack Boka anaondoka mrithi wake nitakutajia Kone 12. Lassine kouma Wachezaji wanaosajiliwa Yanga 1. Yves Koutiama mshambuliaji wa Burkina Faso Na police Kenya magoli 11 mechi 17 ameingia dirisha Dogo 2. Juma Abushir AKA Messi wa Chuga Miaka 18 attacking midfield kutoka Fountain Gate alihitajika krc Genk ,yanga wametoa Milion 100 kuvunja mkataba na atalipwa mshahara wa Milion 5 Kila mwezi kutoka kulipwa Laki 6 3. Nasri Kombo beki kutoka TRA United deal done 4. Azizi Ki wanasubiri avunje mkataba na Al Ittihad 5.Samba Kone mrithi wa Shadrack Boka LB & CB assist 6 Miaka 23 ivory Coast Yanga wanamtaka mlinzi wa kushoto wa Mouna FC raia wa Ivory Coast ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ,Samba Konรฉ (23) โœ…Yanga wanamuona Kone kama mbadala sahihi wa Boka. โŒKone anamaliza mkataba wake na Mouna FC,june 30 mwaka huu. Mchezaji huyo amewahi kupita Paradou FC ya Algeria ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ. Msimu huu Kone katoa assist (4) huku akitajwa kama beki bora wa kushoto kwenye ligi ya Ivory Coast. 6. Klabu ya Yanga ipo kwenye hatua za mwisho kukamilisha usajili wa nyota wa klabu ya Anzoategui FC (Academia Anzoategui) inayoshiriki Ligi daraja la pili nchini Venezuela (FUTVE 2) Guillermo Leon Marin Pino maarufu kwa jina la Memo mwenye umri wa miaka (24). Pino anaweza kucheza nafasi mbalimbali kama vile Winga wa kulia (RW), Winga wa kushoto (LW) na kiungo Mshambuliaji. Kabla ya kujiunga na Anzoategui mnamo mwaka 2023 alikuwa anaitumikia klabu ya Deportivo La Guaira. Akiwa na Anzoategui msimu huu Pino amefanikiwa kuhusika kwenye mabao (5) baada ya kufunga mabao (3) na kutoa assisti (2) akicheza dakika (876) kwenye michezo (13). 7. Mosi Nduwumwe huyu ndiye top score ligi kuu Mechi 15 magoli 17 na ndiye mrithi wa Prince Dube,ni raia WA Burundi Miaka 25 8. Idd Nado kutoka Azam FC Kocha wanaotajwa Kwa sasa Chavalier wa aasec mimosas ya ivory Coast na fadlu davids wa Raja ๐ŸŸข๐ŸŸก HII HAPA LIST YA WACHEZAJI WA KIGENI WA YANGA SC ๐Ÿ”ฐ 1.๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฑ Djigui Diarra 2.๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ Yao Kouassi 3.๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ Chadrack Boka 4.๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ช Frank Assink 5.๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ณ Balla Contรฉ 6.๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช Duke Abuya 7.๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ Maxi Nzengeli 8.๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฑ Mohamed Doumbia 9.๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ด Laurindo Depu 10.๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฌ Allan Okello 11.๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ Pacome Zouzoua 12.๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ฒ Buba Jammeh 13.๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ช Lassine Kouma 14.๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ช Cรฉlestin Ecua




Next »


Popular Tags

#Goal Celebrations  #Anthony Davis  #Tristan Thompson  #Thomas Muller  #Gareth Bale  #Boston Celtics  #Luis Suarez  #Kawhi Leonard  #Cristiano Ronaldo  #Stephen Curry  

Popular Users

#akshaykumar  #kevinlove  #KDTrey5  #BBCBreaking  #tigerwoods  #BarackObama  #Drake  #BizNasty2point0  #lindseyvonn  #MileyCyrus  #UKCoachCalipari  #LAKings  #shakira  #KimKardashian