ALLY KAMWE''TUNAMTOA MAMELODI KWENYE LIGI YA MABINGWA/AL AHLY ANAWAFUNGA SIMBA,SISI HATUWEZI
ALLY KAMWE''TUNAMTOA MAMELODI KWENYE LIGI YA MABINGWA/AL AHLY ANAWAFUNGA SIMBA,SISI HATUWEZI

Leo Machi 30,2024 Katika Dimba la Benjamin Mkapa inapigwa mbungi ya mkondo wa kwanza ya ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga SC na Mamelodi Sundowns kutoka Afrika Kusini,Saa 3:00 usiku.



ALLY KAMWE AWALIPUA SIMBA,SIMBA NI MWAKA ROBO/TUNATAKA MECHI TUCHEZE NA MWANGA WA SIMU
ALLY KAMWE AWALIPUA SIMBA,SIMBA NI MWAKA ROBO/TUNATAKA MECHI TUCHEZE NA MWANGA WA SIMU

Leo Machi 29,2024 Mnyama Simba SC anashuka Dimba la Benjamin Mkapa kumenyana na Al Ahl kutoka Misri katika mchezo wa mkondo wa kwanza wa robo fainali ya ligi ya Mabingwa Afrika,Saa 3:00



AL AHLY WAINGIA HOFU DAR/ BENCHIKHA AWANYIMA USINGIZI/ KIONGOZI AL AHLY AFUNGUKA/ "TUNA KAZI KUBWA"
AL AHLY WAINGIA HOFU DAR/ BENCHIKHA AWANYIMA USINGIZI/ KIONGOZI AL AHLY AFUNGUKA/ "TUNA KAZI KUBWA"

“Simba SC tunaweza kuifunga, Lakini nadhani kitu kinachotufanya tuwe na wasiwasi ni uwepo wa Kocha Benchikha (Abdelhak), nadhani mnafahamu ubora wake kwa sasa na namna anavyojua kusimama na mbinu zake,” “Nipo hapa kuhakikisha timu inapata wakati mzuri wa mechi hii ya Ijumaa (Machi 29), tunaamini makocha wetu watakuja na mpango mzuri wa kupata matokeo mazuri, hatujawahi kupata ushindi hapa Kwa Mkapa tukicheza na Simba SC, hili ni eneo lingine ambalo linatufanya tuwe makini na mechi hii." “Sina wasiwasi na kikosi chetu tutacheza kwa ubora wetu kupata matokeo mazuri ambayo yatatupa wepesi kabla ya mechi ya marudiano kule Cairo, tunataka kutetea ubingwa wetu msimu huu,” -- Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali. JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786 ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com ⚫️ Website: www.dar24.com ⚫️ Instagram: @Dar24news ⚫️ Facebook: @dar24 ⚫️ Twitter: @Dar24News #simbasc #alahly #ahmedally



EXCLUSIVE: MPENJA, MZINGA, HINJO WASHINDANA KUTANGAZA MPIRA/WAZICHAMBUA MAMELODI/AL AHLY/NOMA SANA!
EXCLUSIVE: MPENJA, MZINGA, HINJO WASHINDANA KUTANGAZA MPIRA/WAZICHAMBUA MAMELODI/AL AHLY/NOMA SANA!

Mtangazaji Mwandamizi wa soka nchini, Baraka Adson Lamsi Mpenja, maarufu Mwamba wa Umalila, Fahari ya Itete, Sauti ya Radi, amekutana na kufanya Mazungumzo maalumu na Watangazaji vinara wa kandanda kutoka Azam Media LTD, Gharib Mzinga na Ayubu Hinjo. Wamezichambua mechi za robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Machi 29, Simba vs Al Ahly na Machi 30, Yanga vs Mamelodi Sundowns.



¡#ITALIA derrotó a #VENEZUELA con un DOBLETE de Mateo #RETEGUI! | Venezuela 1 - 2 Italia | Resumen
¡#ITALIA derrotó a #VENEZUELA con un DOBLETE de Mateo #RETEGUI! | Venezuela 1 - 2 Italia | Resumen

▶️ Los dos goles del delantero con pasado en Boca Juniors y Estudiantes de La Plata le dieron el triunfo a la Azzurra en el primer amistoso de la fecha FIFA. Darwin Machís anotó el empate parcial para La Vinotinto. #FútbolEnDSPORTS Disfruta el mejor contenido deportivo en https://www.directvgo.com/ Para más información, te esperamos en https://www.directvsports.com/ ¡Recuerda seguirnos en todas nuestras redes! Twitter: https://twitter.com/DSports Instagram: https://www.instagram.com/DSports/ Facebook: https://www.facebook.com/DSportsOK TikTok: https://www.tiktok.com/@DSports Twitch: https://www.twitch.tv/directvsportsgaming



⚽ GOL DE MACHÍS | Venezuela 1-1 Italia | Fecha FIFA
⚽ GOL DE MACHÍS | Venezuela 1-1 Italia | Fecha FIFA

¡GOL DE VENEZUELA! 🤩🇻🇪 Darwin Machís aprovechó el regalo y empató el partido ante Italia. #AmistosoEnFOX



ALLY KAMWE: TUNAKWENDA KUWAFANYA VIBAYA MAMELODI/SIMBA WANASAFISHA UWANJA/HATUJAWAHI KUSHINDWA...
ALLY KAMWE: TUNAKWENDA KUWAFANYA VIBAYA MAMELODI/SIMBA WANASAFISHA UWANJA/HATUJAWAHI KUSHINDWA...

Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga SC,Ally kamwe aeleza namna ambavyo wamewapokea wapinzani wao Mamelodi Sundowns kwenye robo fainali ya ligi ya Mabingwa Afrika na namna wanavyojipanga kumenyana nao Machi 30,2024 Uwanja wa Benjamin Mkapa.



MZINGA: KESHO NI DERBY YA FEI TOTO NA MUDATHIR/YANGA NA AZAM NI DABI YENYE MVUTO/MPIRA UTATEMBEA....
MZINGA: KESHO NI DERBY YA FEI TOTO NA MUDATHIR/YANGA NA AZAM NI DABI YENYE MVUTO/MPIRA UTATEMBEA....

Mtangazaji wa soka kutoka Azam Media LTD, Gharib Mzinga ametoa mtazamo wake kiundani mchezo wa Machi 17,2024 wa Ligi Kuu ya NBC PL kati ya Azam FC na Yanga SC, utakaopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa,Saa 2:15 usiku.




Next »


Popular Tags

#Best Football Defending Skills  #Paul Pogba  #David Silva  #Kevin Durant  #Stephen Curry  #New York Knicks  #Goal Celebrations  #Football Skills  #Ronaldinho  #Chris Paul  

Popular Users

#KingJames  #WWE  #imVkohli  #b_ryan9  #billbarnwell  #alexmorgan13  #RobbieSavage8  #floydmayweather  #TheNotoriousMMA  #rihanna  #strombone1  #nytimes  #UKCoachCalipari  #britneyspears