YANGA YATOA TAMKO BEI YA MUKOKO NA FEISAL KWENDA GEITA GOLD/WACHEZAJI  WANATAKA KUJA YANGA
YANGA YATOA TAMKO BEI YA MUKOKO NA FEISAL KWENDA GEITA GOLD/WACHEZAJI WANATAKA KUJA YANGA

Mpenja TV leo Novemba 22, 2021 imefanya mahojiano maalumu na Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Hassan Bumbuli, ambaye amezungumzia mambo mbalimbali. Bumbuli pia amejibu kuhusu taarifa ya Ofisa Habari wa Geita Gold FC, Hemed Kivuyo, anayedai wametuma barua Yanga wakiomba kujua bei ya kuwanunua baadhi ya wachezaji, Feisal Salum na Mukoko Tonombe. Fuatilia mahojiano haya yakifanywa na Alwatan Abdulazi. #YangaSC #HassanBumbuli #FeisalSalum #MukokoTonombe #MpenjaTV



KICHUYA AWAKA "NIKISEMA TUMEONEWA NITAFUNGIWA MECHI, YANGA TULIWABANA KILA SEHEMU..."
KICHUYA AWAKA "NIKISEMA TUMEONEWA NITAFUNGIWA MECHI, YANGA TULIWABANA KILA SEHEMU..."

KICHUYA AWAKA "NIKISEMA TUMEONEWA NITAFUNGIWA MECHI, YANGA TULIWABANA KILA SEHEMU..." 🔴Timu ya Mpenja TV, tupo Uwanja wa Ilulu Lindi kutoa taarifa zote za kabla na baada ya mechi kali ya ligi kuu ya NBC kati ya wenyeji Namungo FC na Vinara Yanga SC. Nani kuibuka na ushindi?…mambo ni moto moto🔥 Endelea kutufuatilia, tuko tayari kukuhudumia kwa weledi mkubwa. #NamungoFC #YangaSC #NamungovsYanga #MpenjaTV



Highlights | Express FC 2-1 KMKM SC | Nusu Fainali Kagame Cup 10/08/2021
Highlights | Express FC 2-1 KMKM SC | Nusu Fainali Kagame Cup 10/08/2021

EXPRESS vs KMKM SC: Penati ya dakika ya 90 imeitupa KMKM SC nje ya mashindano ya #CecafaKagameCup2021 ikifungwa 2-1 na Express ya Uganda katika mchezo wa nusu fainali uliopigwa Azam Complex, Chamazi. Magoli ya Express yamefungwa na Muzamiru Mutyaba pamoja na Erick kenzo Kambale huku goli la KMKM likifungwa na Ibrahim Abdallah. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- â–ºINSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ â–ºINSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ â–ºTWITTER: https://twitter.com/azamtvtz â–ºFACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz â–ºWEBSITE: http://www.azamtv.co.tz



Magoli |  Express FC 2-1 KMKM SC | Nusu Fainali Kagame Cup 10/08/2021
Magoli | Express FC 2-1 KMKM SC | Nusu Fainali Kagame Cup 10/08/2021

EXPRESS vs KMKM SC: Penati ya dakika ya 90 imeitupa KMKM SC nje ya mashindano ya #CecafaKagameCup2021 ikifungwa 2-1 na Express ya Uganda katika mchezo wa nusu fainali uliopigwa Azam Complex, Chamazi. Magoli ya Express yamefungwa na Muzamiru Mutyaba pamoja na Erick kenzo Kambale huku goli la KMKM likifungwa na Ibrahim Abdallah. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- â–ºINSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ â–ºINSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ â–ºTWITTER: https://twitter.com/azamtvtz â–ºFACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz â–ºWEBSITE: http://www.azamtv.co.tz



CECAFA Kagame Cup 2021| Young Africans 1-3 Express.
CECAFA Kagame Cup 2021| Young Africans 1-3 Express.

Godfrey Lwesibawa, Muzamiru Mutyaba and Erick Kambale scored for Express.



Yanga SC 1-3 Express FC | Highlights | Kagame Cup 07/08/2021
Yanga SC 1-3 Express FC | Highlights | Kagame Cup 07/08/2021

YANGA VS EXPRESS: Yanga SC wametupwa nje ya mashindano ya Kombe la Kagame #CecafaKagameCup2021 baada ya kupokea kichapo cha mabao 3-1 kutoka kwa Express ya Uganda katika mchezo wa mwisho wa Kundi A uliochezwa kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Magoli ya Express yamefungwa na Godfrey Lwesibawa, Muzamiru Mutyaba na Erick Kenzo Kambale huku goli la Yanga likifungwa na Paul Godfrey. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- â–ºINSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ â–ºINSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ â–ºTWITTER: https://twitter.com/azamtvtz â–ºFACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz â–ºWEBSITE: http://www.azamtv.co.tz



Caf Champions League | KCCA FC vs African Stars 2-0 | Goals & Highlights (23.08.2019)
Caf Champions League | KCCA FC vs African Stars 2-0 | Goals & Highlights (23.08.2019)

Caf Champions League | KCCA FC vs African Stars 2-0 | Goals & Highlights (23.08.2019). CAF Champions League: KCCA FC eject Namibia’s African Stars FC. CAF Champions League | Preliminary Round | Return Leg KCCA 2-0 African Stars (Agg: 4-3) Mustafa Kizza and Allan Okello scored two late goals for KCCA as they beat African Stars 2-0 in the return leg of the CAF Champions League preliminary round encounter at the StarTimes Stadium, Lugogo on Friday. Kizza curled home the opener nine minutes to the climax of the end-to-end affair before Okello put the game to bed with a trademark stunning strike at the stroke of full time. Before these two late goals, the visitors carried the advantage and all signs were eminent that they would smile home triumphant. KCCA survived the first threat as early as the third minute when forward Chrispen Mbewe beat goalkeeper Charles Lukwago but his goal-bound effort was blocked by the towering defender Peter Magambo. African Stars’ right back Treasure Kauapirura defended well against Mike Mutyaba as the home team surged forward in the early stages of the game. Striker Sadat Anaku volleyed high a Musa Ramathan cross from the right on 20 minutes. Three minutes later, Anaku broke through following a Gift Ali forward chip that found the teenage striker in the offside position. On the half-hour mark, Mike Mutyaba’s cross from the left wing was also volleyed straight to the goalkeeper Uzuva Vipua Tjimune. Two African Stars players Marcel Papama and Chrispen Mbewe were both booked on 33 minutes for unsporting conduct. KCCA was nearly punished in the 36th minute when Magambo lost possession in the African Stars’ half. A quick counter led by Mbewe was finished over the bar by forward Ambrose Amseb as the opening half remained goal-less. As the second half returned, Herbert Achai had a weak shot towards goal well collected by the shot-stopper. Deon Tjizumaue tested Lukwago in KCCA’s goal with a shot off target on 50 minutes. Two minutes later, left winger Mustafa Kizza had a free-kick narrowly fly over the bar. In the same vein, Amseb’s free-kick was also delivered high and over Lukwago between KCCA’s goalposts. The first change of the game came 10 minutes into the second stanza when Achai paved way for left-footed midfielder Jackson Nunda for the home side. Kizza forced a save from African Stars’ goalkeeper on the hour mark. The second change for KCCA was made on 61 minutes when Gift Ali Abubakar was rested for the fresh legs of midfielder Nicolas Kasozi. At the same time, African Stars also conducted their first change of the game. A largely impressive Deon Tjizumaue was replaced by Kaejarukapo Katijimune. The day’s referee turned down a penalty shout out after a push on Muzamiru Mutyaba inside the goal area with 20 minutes to play. African Stars’ goalkeeper Uzuva Vipua Tjimune was cautioned for time-wasting on 75 minutes. Two minutes later, goalkeeper Lukwago foiled a one against one chance against Kaejarukapo as KCCA survived yet another scary moment. KCCA right back Musa Ramathan limped out and his place was taken by Filbert Obenchan. Kizza lit up the stands with a beautiful curling low free-kick for the opener nine minutes to the climax of the game. African Stars’ Isaak Gustav had a free-kick delivery cleared to safety by Nunda as the visitors pushed numbers. Okello buried the game with his trademark stunning shot past the goalkeeper for the winner well celebrated at the stroke of full time. KCCA FC XI: Charles Lukwago (G.K), Kato Samuel Nemeyimana, Mustafa Kizza, Ramathan Musa (79′ Filbert Obenchan), Peter Magambo, Abubakar Gift Ali (61′ Nicholas Kasozi), Herbert Achai (55′ Jackson Nunda), Muzamiru Mutyaba, Mike Mutyaba, Allan Okello, Sadat Anaku African Stars XI: Ratanda Mbazuvara (G.K), Deon Tjizumaue, Ivan Kamberipa, Treasure Kauapirura, Chrispen Mbewe, Ronald Himeekua Ketjijere, Youssouf Ibroihim, Ambrose Amseb, Pat Nevin Uanivi (Captain), Marcell Papama, Dennis Ngueza Tjetjinda




Next »


Popular Tags

#Paul George  #Best Champions League  #Kawhi Leonard  #Stephen Curry  #Boston Celtics  #Best Goals  #Kyrie Irving  #Philadelphia 76ers  #New York Knicks  #Gareth Bale  

Popular Users

#taylorswift13  #iamsrk  #SportsCenter  #_BAnderson30_  #lindseyvonn  #Ky1eLong  #RobGronkowski  #KevinHart4real  #elonmusk  #JayBilas  #MikePereira  #SHAQ  #JoelEmbiid  #IAmJericho  #BizNasty2point0