๐ด#Live: 'KO' ya HASSAN MWAKINYO Akimchapa MWANAJESHI wa GHANA RAUNDI ya SABA, MTATA MTATUZI ZANZIBAR ULE Usiku uliokuwa ukisubiriwa kwa hamu wa pambano la Hassan Mwakinyo vs Elvis Ahorgah hatimaye umewahi na Bongo Boxing Safari tunakuletea matukio yote yanayoendelea kwenye pambano hili.
KOCHA MTATA AKUBALI MZIKI WA SIMBA Baada ya simba kuibuka na ushindi wa goli 3-0 dhidi ya kagera sugar kocha wa timu hiyo ya kagera ameipongeza timu ya simba na....