Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara wamerejea kileleni mwa msimamo wa ligi hiyo baada ya leo kupata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Mtibwa Sugar, kwenye Dimba la Uhuru Dar es Salaam. Walioitafuna miwa ya Mtibwa kwenye mchezo huo uliokuwa mzuri na wa kuvutia, ni John Bocco dakika ya 33, Clatous Chama dakika ya 48 na Emmanuel Okwi dakika ya 56. Ushindi huo umefanya Simba ifikishe pointi 85 na kukaa kileleni mwa msimamo wa ligi ikiwaacha Yanga kwenye nafasi ya pili wakiwa na pointi 83 wakati Mtibwa Sugar wakisalia kwenye nafasi ya tano na pointi 49.
KIKOSI cha Maangamizi cha SIMBA VS KAGERA SUGAR Dakika 90 zimemalizika katika Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam kwa Simba kuendelea kuwa kibonde wa Kagera Sugar baada ya kukubali kichapo cha bao 1-0. Bao pekee la mchezo huo limepatikana mnamo dakika ya 42 kipindi cha kwanza kwa Mohammed Hussein kujifunga ikiwa ni baada ya kukosa mawasiliano mazuri baina yake na kipa Aishi Manula kufuatia mpira uliopigwa na mchezaji wa Kagera. Licha ya kutawala sehemu kubwa ya mchezo, Kagera Sugar walionekana kulinda kwa umakini zaidi lango haswa baada ya kupata bao la kuongoza na kuwafanya Simba kushindwa kucheka na nyavu zao. Kunako kipindi cha pili cha mchezo, Kocha wa Simba Patrick Aussems aliwafanyia mabadiliko wachezaji Hassan Dilunga aliyemtoa na nafasi yake kuchukuliwa na Rashid Juma huku James Kotei naye akitolewa na Jonas Mkude akichukua nafasi yake. Mabadiliko hayaikuisaidia chochote Simba ambapo mpaka dakika 90 zinamalizika matokeo yalisalia kuwa 1-0. Kuendelea kupoteza kwa Simba dhidi ya Kagera kunawafanya wazidi kusalia nafasi ya kwanza wakiwa na alama zao 81 kwenye nafasi ya kwanza katika msimamo wa ligi huku Kagera wakijiongezea alama tatu muhimu wakifikisha alama 43. #SIMBASC https://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho
SIMBA SC 8-1 COASTAL UNION: Timu ya Simba hii leo imepanda hadi nafasi ya kwanza kwenye msimamo ligi kuu soka Tanzania bara baada ya kupata ushindi wa bao 8-1 dhidi ya Coastal Union kwenye mchezo uliochezwa katika uwanja wa uhuru jijini Dar es Salaaam. Huu ni mshindi mkubwa zaidi katika ligi baada ya muda mrefu lakini rekodi mpya imeandikwa kwa wachezaji wawili wa timu moja katupia Hat-trick. Emmanuel Okwi amefunga magoli matatu na kumfanya afikishe mabao 14 msimu huu, wakati Hat-trick nyingine ya Meddie Kagere imemuongezea kasi kwenye msimamo wa wafungaji akifikisha mabao 20 kileleni akiwazidi wanaomfuatia kwa mabao manne. Mabao mengine ya Simba kwenye mchezo wa leo yamefungwa na Hassan Dilunga pamoja na Clatous Chama wakati lile la kufuatia machozi kwa Coast likifungwa na Raizin Hafidh
Msimamo Ligi Kuu Tanzania Bara: Kagera Sugar Wapanda #LigiKuuTanzaniaBara #TanzaniaPremierLeague #SisiNiSoka #Msimamo #MsimamoWaLigi #LeagueTable #Standing #AzamTVApp
KLABU Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, imefanya kweli mkoani Mbeya baada ya kuichapa Mbeya City bao 1-0, mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara (TPL) uliofanyika Uwanja wa Sokoine, Mbeya leo jumapili. Ushindi huo unaifanya Azam FC kufikisha jumla ya pointi 66 kwenye msimamo wa ligi ikiwa nafasi ya pili ikizidiwa pointi nane na kinara Yanga aliyekuwa nazo 74, Simba iliyocheza mechi 22 ni ya tatu ikijikusanyia 57. Beki wa Azam FC, Yakubu Mohammed, aliyeonekana kucheza vema kwenye eneo la beki ya kati sambamba na beki chipukizi kutoka Azam Academy, Lusajo Mwaikenda, ndiye aliyeipatia bao pekee timu hiyo dakika ya 45 akimalizia krosi iliyopigwa na kiungo, Mudathir Yahya, kufuatia mpira wa kona alioanzishiwa na Bruce Kangwa. #WeAreAzamFC #TimuBoraBidhaaBora #AfricanFrutiImenogaFresh #UhaiDrinkingWater #TradegentsTanzaniaLimited
KOCHA ZAHERA Aongea na KOCHA TP MAZEMBE / "SIMBA VS TP MAZEMBE Mechi Ngumu" KOCHA Mkuu wa yanga Mwinyi zahera amesema mwenendo wa ligi hauendi vizuri kutoka na baadhi ya timu kuwa na mechi nyingi ambazo hajizachezwa. Yanga ilimaliza mchezo ikiwa pungufu baada ya mkongwe, Kelvin Yondan kuonyeshwa kadi nyekundu dakika ya 82 baada ya kumchezea rafu mchezaji wa Kagera Sugar, Kassim Khamis. Matokeo haya yanaifanya Yanga kucheza jumla ya michezo 31 ikiwa imejikusanyia pointi 74 huku Kagera ikiwa imecheza michezo 32 na ina pointi 36 ikiwa nafasi ya 17 kwenye msimamo. #ZAHERA https://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global
MSEMAJI wa AS VITA Akizungumza Baada ya Kufungwa Msimamo wa kundi D hivi sasa unaonesha Al Ahly walioungana na Simba kufuzu wako nafasi ya kwanza wakiwa na alama 10 baada ya kuitandika JS Saoura mabao 3-0 leo. Simba nao baada ya ushindi wa leo wamefanikiwa kumaliza wakiwa nafasi ya pili wakiwa na alama 9 huku Saoura wakiwa nafasi ya tatu na alama 8 pamoja na AS vita wakiwa wa nne na alama 7. Tuanchie maoni yako hapa namna ulivyoyapokea matokea haya na ulivyouona mchezo kwa ujumla.. #SIMBAVsASVITA https://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho
UTANI: WAWA Alivyompiga Ngumi Mkude Kikosi cha Simba Kikirejea Msimamo unaonyesha kwamba JS Saoura inaongoza kundi ikiwa na pointi nane, ikifuatiwa na Al Ahly yenye pointi saba, sawa na timu inayoshika nafasi ya tatu, AS Vita ambayo nayo ina pointi saba, na Simba ghafla imeporomokea mkiani ikiwa na pointi sita. Hata hivyo, Simba ina nafasi ya kusonga mbele kama itaitumia vizuri mechi yao inayofuata ya nyumbani, itakayochezwa Jumamosi ijayo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Simba inatakiwa ikusanye nguvu zote kwa ajili ya kuzitumia kwenye mchezo huu wa mwisho, maana sasa inahitaji ushindi tu wa aina yoyote ili kutinga robo fainali bila kuangalia matokeo mengine kati ya Al Ahly na JS Saoura, Waarabu watakaochinjana wenyewe. #SIMBASC https://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho