Qualifications pour la Coupe d'Afrique des Nations Féminine 2024 RD Congo - Bénin Côte d'Ivoire - Tanzanie Djibouti - Togo ...
Leo 26 Agosti,Yanga SC ikiwa nyumbani Uwanja wa Azam Complex Chamazi inamkaribisha ASAS kutoka Djibouti kwenye Mechi ya Marudiano Ligi ya Mabingwa Afrika ikiwa na Faida ya Bao 2 walizopata kwenye Mechi ya kwanza . Mpenja Tv tuko Mubashara kutokea Azam Complex hapa Chamazi kwaajili ya kukuhabarisha kila tukio linalojiri..
YANGA VS AS AL SABIEH: Yanga SC imefuzu raundi ya pili ya hatua za awali katika michuano ya Ligi ya Mabingwa barani Afrika kwa kishindo ikiipa kipigo cha jumla cha mabao 7-1 ASAS ya Djibouti kufuatia ushindi wa 5-1 iliyoupata leo katika mchezo wa marudiano. Waliotikisa nyavu kwenye game ya leo iliyopewa jina la #MaxDay ni Max Nzengeli dakika ya 7 na 90+2, Hafidh Konkoni dakika ya 45, Pacome Zouzoua dakika ya 55 na Clement Mzize dakika ya 69 huku ASAS nao wakipata bao kwa penati dakika ya 85 kupitia kwa Tito Mayor Mechi zote mbili zimepigwa hapa Azam Complex, Chamazi, Yanga wakiwa wamshinda 2-0 katika mchezo wa kwanza….. Haya hapa magoli yote sita…
Kuendelea kupata habari mbalimbali tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:- Facebook : https://www.facebook.com/Mbiu-ya-SautiKuu-1743739459176507/?ref=your_pages. Instagram : https://www.instagram.com/mbiuyasautikuutv/ YouTube : http://www.youtube.com/MbiuyaSautiKuuTv/
Asas Djibouti Vs Yanga Asas Djibouti Vs Yanga Live Asas Djibouti Vs Yanga Leo Asas Djibouti Vs Yanga Live Leo Asas Djibouti Vs Yanga Leo Live Asas Djibouti Vs Yanga Magoli Yote Asas Djibouti 0-2 Yanga Goli La Aziz Ki Dhidi Ya Asas Djibouti Goli La Aziz Ki Vs Asas Djibouti Goli La Musonda Dhidi Ya Asas Djibouti Goli La Musonda Vs Asas Djibouti #YangaSc #CafCl #AzamTv #Yanga #HajiManara
Asas Djibouti Vs Yanga Asas Djibouti Vs Yanga Live Asas Djibouti Vs Yanga Leo Asas Djibouti Vs Yanga Live Leo Asas Djibouti Vs Yanga Leo Live Asas Djibouti Vs Yanga Magoli Yote Asas Djibouti 0-0 Yanga #YangaSc #CafCl #AzamTv #Yanga #HajiManara
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga SC,Ally Kamwe ameeleza mipango na Mikakati yao kuelekea mchezo wa ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya ASAS ya Djibouti,utakaochezwa August 20,2023 katika Uwanja wa Azam Complex Chamazi,Saa 11 jioni.