SIMBA SC vs MTIBWA SUGAR LEO. Ligi Kuu Tanzania Bara kuendelea kupigwa leo katika dimba la Uhuru. Simba SC wametoka kubanwa mbavu mechi iliyopita je leo watarekebisha makosa na kuondoka na ushindi ama watapokea surprise kutoka kwa Mtibwa Sugar? #MagoliYoteSimbanaKageraSugar #simbasctanzania #Azamsports2 #Azamtvapp #mtibwaofficial #SimbaNaMtibwaSugar