Content removal request!


LWANGA NA WAWA HAWATACHEZA MECHI IJAYO KIMATAIFA DHIDI YA EL MERREIKH KWA MKAPA,SABABU HII

Wachezaji @SimbaSCTanzania Thaddeo Lwanga na Pascal Wawa watakosa mechi ya ijayo dhidi ya @ElMerreikhSDN Dsm wana Yellow Card 2 kila mmoja walizopata(As Vita na El Merreikh). Pia Wachezaji 2 wana Yellow card 1 kila mmoja ni Shomari Kapombe(Simba) na Tajeldin Elnour(El Merreikh.) Sometimes.. Football ni mchezo wa hesabu. Ukizielewa, utaelewa walichokifanya Simba 🦁 Leo mbele ya Al Merrikh Uongozi wa Simba uliwekeza kiwanjani kwa kusajili wachezaji wenye uzoefu na ubora Wakawekeza tena kwenye benchi la Ufundi kwa kuajiri wataalam wenye uzoefu/ubora wa kusoma mbinu za mpinzani na kupata majibu yake Kuna kocha Mkuu Didier Gomes. Kuna Seleman Matola.. Halafu kuna yule Performance analyst kutoka Zimbabwe, Calvin Mavhunga Jopo la watu hawa, ukiongeza na wataalamu wa viungo, ni ishara kuwa Simba ilijiandaa kuwa washindani wa kweli AFRIKA Sina maana kwamba hawatafungwa. Even Barcelona ile ya Pep Guardiola iliwahi kupoteza mechi.. Ninachokimanaisha hapa, Uongozi wa Simba umefanya kazi kubwa ya kuijenga Timu yao msimu huu Robo fainali waliyocheza msimu wa 2018/19 ilikuwa ya 'fluke' tu, ila hii watakayocheza msimu huu (Asilimia 70 wameshafika), Wamejiandaa nayo Haya yanayotokea sasa, hayatokei kwa bahati mbaya. Kuna HATUA UONGOZI WA SIMBA WALIZICHUKUA👍 Hongera kwao @simbasctanzania @moodewji @bvrbvra @crescentius_magori 👏