A brief glimpse into the past

USIKU WA VITASA | Hizi hapa 'show' za Mandonga na Shaban Kaoneka - 30/07/2022
USIKU WA VITASA | Hizi hapa 'show' za Mandonga na Shaban Kaoneka - 30/07/2022

Tazama mambo yalivyokuwa wakati bondia Karim Mandonga 'mtu kazi' akimenyana Shaban Kaoneka kwenye #UsikuWaKisasi dimbani Majimaji Songea.



Mbeya Kwanza 0-0 Mbeya City | Highlights | NBC Premier League 05/03/2022
Mbeya Kwanza 0-0 Mbeya City | Highlights | NBC Premier League 05/03/2022

Ni mechi ya ligi kuu ya NBC iliyochezwa kwenye Dimba la Majimaji mjini Songea, ambapo wenyeji Mbeya Kwanza ...



#TBCLIVE: KMC FC (0) VS (2) YANGA SC UWANJA WA MAJIMAJI, SONGEA
#TBCLIVE: KMC FC (0) VS (2) YANGA SC UWANJA WA MAJIMAJI, SONGEA

Fuatilia habari na matukio mbalimbali kwa saa 24 kupitia tovuti yetu, www.tbc.go.tz au App yetu ya “TBC Live” inayopatikana Play Store (Android): https://bit.ly/3kYnnsr App Store (iOS): https://apple.co/31Yxjta Tufuatilie pia kwenye kurasa zetu za mitandao ya kijamii; Twitter: https://twitter.com/TBConlineTZ Instagram: https://www.instagram.com/tbc_online/ Facebook: https://www.facebook.com/TBConlineTZ



Aggrey Morris Alalamikia Goli la Simba, Morrison Kuanzisha Mpira Haraka ni Makosa
Aggrey Morris Alalamikia Goli la Simba, Morrison Kuanzisha Mpira Haraka ni Makosa

SUBSCRIBE HAPO JUU tembelea WEBSITE YETU https://bmtvtanzania.com/ INSTAGRAM https://www.instagram.com/bmtvtanzania FACEBOOK https://www.facebook.com/bmtvtanzania TWITTER https://twitter.com/bmtvtanzania1



Tazama Simba walivyoiadhibu Azam kwa goli la Luis Miquissone - Nusu Fainali ASFC 26/06/2021
Tazama Simba walivyoiadhibu Azam kwa goli la Luis Miquissone - Nusu Fainali ASFC 26/06/2021

AZAM FC VS SIMBA (0-1): Goli pekee la Luis Miquissone dakika ya 89 limeipeleka Simba fainali ya #AzamSportsFederationCup baada ya kuitandika Azam FC bao 1-0 katika mchezo wa nusu fainali uliochezwa kwenye Dimba la Majimaji mjini Songea. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz



🔴#LIVE: AZAM FC vs SIMBA SC ( 0 - 1 ) - NUSU FAINALI ya FA, UWANJA wa MAJIMAJI SONGEA..
🔴#LIVE: AZAM FC vs SIMBA SC ( 0 - 1 ) - NUSU FAINALI ya FA, UWANJA wa MAJIMAJI SONGEA..

🔴#LIVE: AZAM FC vs SIMBA SC ( 0 - 1 ) - NUSU FAINALI ya FA, UWANJA wa MAJIMAJI SONGEA.. Dakika 90 za Nusu Fainali ya mwisho ya Kombe la Shirikisho (FA) kati ya AZAM FC vs SIMBA SC, inayochezwa katika uwanja wa Majimaji Mkoani Ruvuma, zimemalizika kwa Azam kutolewa kwenye kombe hilo na rasmi sasa Simba atakutana na mtani wake wa jadi Yanga, kwenye hatua ya fainali itakayochezwa mkoani Kigoma. ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx ⚫️ VISIT AMAZON: https://www.amazon.com/shop/globaltvonline ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506) ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2 ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline



VIDEO: HAIJAWAHI TOKEA MWANZO MWISHO MAPOKEZI YA SIMBA SONGEA YAVUNJA REKODI|CEO WA SIMBA ASHANGAZWA
VIDEO: HAIJAWAHI TOKEA MWANZO MWISHO MAPOKEZI YA SIMBA SONGEA YAVUNJA REKODI|CEO WA SIMBA ASHANGAZWA

MASHABIKI wa Simba leo wamejitokeza kwa wingi kuipokea timu hiyo ambayo imewasili leo Juni 23, Songea. Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Didier Gomes ina kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Azam FC katika mchezo wa Kombe la Shirikisho.  Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Majimaji, Juni 26. Ni Simba ambao ni mabingwa watetezi wa taji hilo walitwaa msimu uliopita baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Namungo FC ilikuwa Uwanja wa Nelson Mandela. Gomes amesema:"Tunatambua kwamba Azam FC ni timu bora kwani ina wachezaji wazuri hivyo wachezaji wangu nimewaambia kwamba wanapaswa kufanya kazi kwa umakini kusaka ushindi," .



Team, Place & City Details

Lipuli F.C.

Lipuli FC is a football club based in Iringa, Tanzania. They play at 5,000 capacity Samora Stadium in the Tanzanian premier League after being promoted for the 2017/18 season.They primarily wear red with white trim.

Maji Maji F.C.

Majimaji Football Club is a football club based in Songea, Ruvuma Region, Tanzania. They play at the Majimaji Stadium.

Majid Abdolhosseini
Majid Abdolhosseini

Majid Abdolhosseini is a retired professional Iranian karateka. In 1995, Abdolhosseini won a gold medal in the Philippines and another gold medal in Macau in 2005.

Lipulekh Pass
Lipulekh Pass

Lipulekh is a Himalayan pass on the border between India's Uttarakhand state and the Tibet region of China, near their trijunction with Nepal. Nepal has ongoing claims to the southern side of the pass, called Kalapani territory, which is controlled by India.

Lipslide

Lipslide is the debut solo album from Saint Etienne lead singer Sarah Cracknell. The album was co-produced by Cracknell and a variety of producers and released in the UK by Gut Records in 1997.

Lipiduria

Lipiduria or lipuria is the presence of lipids in the urine. Lipiduria is most frequently observed in nephrotic syndrome where it is passed as lipoproteins along with other proteins.

Lipolist
Lipolist

Lipolist is a village in Serbia. It is situated in the Šabac municipality, in the Mačva District.

Liuli Gongfang

Liuli Gongfang or Liuligongfang is Taiwan's only contemporary glass studio devoted to artistic Chinese glassware. Since its establishment in 1987 Liuligongfang has become known in Asia and abroad for its outstanding artistic endeavours and its high standard of craftsmanship.Liuligongfang was founded in 1987 by actress Loretta Yang and director Chang Yi.

Lipalian Mountain
Lipalian Mountain

Lipalian Mountain is a 2,682-metre mountain summit located in Banff National Park, in the Slate Range of the Canadian Rockies of Alberta, Canada. It was named by William C. Gussow in 1958.

Lip lift
Lip lift

A lip lift is a plastic surgery procedure that modifies the cosmetic appearance of the lips by reshaping them to increase the prominence of the vermilion border; and to enhance the facial area above the lips into a more aesthetically pleasing shape. In corrective praxis, a lip lift procedure is distinguished from lip enhancement, the augmentation of the lips, which can be effected with a non-surgical procedure.

Liuli
Liuli

Liuli, formerly known as Sphinx Hafen , is a settlement on the Tanzanian shore of Lake Malawi in the Mbinga District of Ruvuma province.

Lip licker's dermatitis
Lip licker's dermatitis

Lip licker's dermatitis, also called irritant contact cheilitis, is a type of skin inflammation around the lips due to saliva from repetitive lip licking. The resulting scaling, redness, chapping and crusting make a well-defined ring around the lips.

Maji Maji Rebellion
Maji Maji Rebellion

The Maji Maji Rebellion , sometimes called the Maji Maji Jihad or Maji Maji War (Swahili: Vita vya Maji Maji, Maji-Maji-Krieg), was an armed rebellion of Islamic and Animist Africans against German colonial rule in German East Africa (modern-day Tanzania). The war was triggered by a German policy designed to force the indigenous population to grow cotton for export, and it lasted from 1905 to 1907.