A brief glimpse into the past

MAZISHI ya JOTA YAACHA SIMANZI KWAO - RONALDO AACHA MASWALI KUSHINDWA KUFIKA MAZIKONI...
MAZISHI ya JOTA YAACHA SIMANZI KWAO - RONALDO AACHA MASWALI KUSHINDWA KUFIKA MAZIKONI...

MAZISHI ya JOTA YAACHA SIMANZI KWAO - RONALDO AACHA MASWALI KUSHINDWA KUFIKA MAZIKONI... Mazishi ya mshambuliaji wa Liverpool, Diogo Jota, yamefanyika leo katika mji wake wa kuzaliwa wa Gondomar, nchini Ureno, ambapo mamia ya waombolezaji, wakiwemo familia na marafiki wa karibu, walikusanyika kumuaga pamoja na kaka yake, André Silva, waliofariki katika ajali mbaya ya gari siku ya Alhamisi, Julai 3, 2025. Mke wa Jota, Rute Cardoso, mwenye umri wa miaka 28, alionekana akitokwa na machozi huku akitembea taratibu nyuma ya jeneza la mumewe, akiwa amevaa mavazi meupe na kushikilia waridi la rangi ya krimu. Jota ameacha watoto watatu — wavulana wawili na binti mmoja. Baadhi ya waombolezaji walionekana wakisaidiwa na wenzao kutokana na mshtuko na majonzi makubwa yaliyowakumba. Majeneza ya Diogo Jota na kaka yake André yalipelekwa kwa huzuni kubwa hadi ndani ya kanisa lililoko Gondomar. Ni watu wa familia na marafiki wa karibu pekee walioruhusiwa kuingia ndani ya kanisa hilo, lakini misa ya mazishi ilipeperushwa moja kwa moja kupitia spika kwa maelfu ya waombolezaji waliokuwa wamejipanga nje kuonyesha heshima zao za mwisho. ============================================================ ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136) ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: https://www.youtube.com/playlist?list=PL22mc2rU91vD-h-a328gR3qltQXYWVQiO ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx



Magoli | Yanga 5 -1 Hausung | Azam Sports Federation Cup 30/01/2024
Magoli | Yanga 5 -1 Hausung | Azam Sports Federation Cup 30/01/2024

Clement Mzize amepiga hattrick, Yanga ikiichapa Hausung kutoka Njombe, mabao 5-1 katika mchezo wa raundi ya pili ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports #ASFC Mechi imepigwa Azam Complex, na magoli mengine yametoka kwa Jonas Mkude aliyefungua kitabu dakika ya 20, pamoja na Skudu Makudubela aliyefunga goli la pili dakika ya 25. Haya hapa magoli yote...



ALLY KAMWE"JOSEPH GUEDE TUTAMTAMBULISHA KESHO CHAMAZI/YANGA TUKIMJUA PACOME INATOSHA,WALIOKULA 5.
ALLY KAMWE"JOSEPH GUEDE TUTAMTAMBULISHA KESHO CHAMAZI/YANGA TUKIMJUA PACOME INATOSHA,WALIOKULA 5.

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga SC,Ally Kamwe ameeleza mipango yao na Maandalizi ya mchezo wa Januari 30,2024 wa Kombe la Shirikisho la Azam Sports dhidi ya Hausing FC ya Njombe,utakaochezwa Uwanja wa Azam Complex Chamazi,Saa moja usiku. Ally Kamwe amesema wataitumia siku hiyo ya mchezo kumtambulisha Mshambuliaji wao mpya Joseph Guede waliyemsajili Dirisha dogo.



MLETEEEE MZUNGUUUU/NI SHANGWE LA WANASIMBA/"MZUNGU MWANAUME/AMEWANYAMAZISHA/MJI UMETULIA"
MLETEEEE MZUNGUUUU/NI SHANGWE LA WANASIMBA/"MZUNGU MWANAUME/AMEWANYAMAZISHA/MJI UMETULIA"

Leo Tarehe 20/8/2022 Ni Mchezo wa Ligi Kuu ya NBC kati ya Wenyeji Simba Sc dhidi ya Wanankrukumbi Kagera Sugar ,Uwanja ...



USIKU WA VITASA | Hizi hapa 'show' za Mandonga na Shaban Kaoneka - 30/07/2022
USIKU WA VITASA | Hizi hapa 'show' za Mandonga na Shaban Kaoneka - 30/07/2022

Tazama mambo yalivyokuwa wakati bondia Karim Mandonga 'mtu kazi' akimenyana Shaban Kaoneka kwenye #UsikuWaKisasi dimbani Majimaji Songea.



Team, Place & City Details

Maji Maji F.C.

Majimaji Football Club is a football club based in Songea, Ruvuma Region, Tanzania. They play at the Majimaji Stadium.

Majid Abdolhosseini
Majid Abdolhosseini

Majid Abdolhosseini is a retired professional Iranian karateka. In 1995, Abdolhosseini won a gold medal in the Philippines and another gold medal in Macau in 2005.

Njombe Mjini
Njombe Mjini

Njombe Mjini is an administrative ward in the Njombe Urban District, in the Njombe Region of southern Tanzania.

Maji Maji Rebellion
Maji Maji Rebellion

The Maji Maji Rebellion , sometimes called the Maji Maji Jihad or Maji Maji War (Swahili: Vita vya Maji Maji, Maji-Maji-Krieg), was an armed rebellion of Islamic and Animist Africans against German colonial rule in German East Africa (modern-day Tanzania). The war was triggered by a German policy designed to force the indigenous population to grow cotton for export, and it lasted from 1905 to 1907.

Majid Majidi
Majid Majidi

Majid Majidi is an Iranian film director, producer, and screenwriter, who started his film career as an actor. In his films, Majidi has touched on many themes and genres and has won numerous international awards.

Junji Majima

Junji Majima is a Japanese voice actor who is contracted to I'm Enterprise. He was born in Nagoya, Aichi.

Ten Zan: The Ultimate Mission

Ten Zan: The Ultimate Mission is a 1988 science fiction action film written and directed by Ferdinando Baldi under the pseudonym "Ted Kaplan". The film stars Frank Zagarino, Sabrina Siani, and Romano Kristoff.

Magimoji Rurumo

Magimoji Rurumo is a Japanese manga series by Wataru Watanabe, author of the manga series Yowamushi Pedal. The series follows Kōta Shibaki, a high school student, who trains with a witch named Rurumo through the use of magic tickets.